Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.

 

Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.

 

Katika mdahalo uliofanyika jijini...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yaonywa kutegemea misaada ya nje

WADAU wa Maendeleo kutoka asasi mbalimbali za kijamii wameishauri serikali kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi, kwani endapo itashindwa kutolewa kwa wakati inaweza kusababisha kwa namna moja au nyingine nchi...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ufaransa yaahidi misaada zaidi kwa Tanzania

AFD ni Taasisi ya kifedha ya Ufaransa na ndiye mtekelezaji Mkuu wa misaada ya kimaendeleo ya nchi hiyo kwa nchi zinazoendelea na zile zenye ngome ya Ufaransa zilizopo katika nchi nyingine duniani kote.

Taasisi hii inatoa fedha kwa miradi ya maendeleo katika zaidi ya nchi 90 zikiwemo nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Mwandishi wa makala hii alifanya mahojiano na Mkurugenzi wa taasisi ya AFD kwa nchi za Afrika Mashariki, Yves Boudot kama ifuatavyo.

Raia Tanzania: Kwa faida ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki kupokea misaada zaidi.

Umoja wa ulaya utaisaidia Uturuki dola za kimarekani milioni themanini,kwa wakimbizi wa kivita baina ya Syria na Uturuki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada zaidi inahitajika mwakani:UN

Mkuu wa kitengo cha misaada cha Umoja wa Mataifa Valerie Amos ,amesema hali ya sasa nchini Syria ni doa katika jamii ya kimataifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Misaada zaidi yahitajika Syria

Mkuu wa maswala ya kibinaadam wa umoja wa mataifa,Valerie Amos ataka misaada zaidi ipelekwe Syria

 

11 years ago

Habarileo

Waathirika mafuriko Kilosa wahitaji misaada zaidi

SERIKALI ya Mkoa wa Morogoro inahitaji misaada zaidi ya kibinadamu, itakayowasaidia watu zaidi ya 8,000 waliokumbwa na mafuriko katika Kata tatu ya Magole, Dumila na Berega zilizopo Tarafa ya Magole, wilayani Kilosa. Misaada hiyo inatakiwa kutokana na makazi yao kubomoka na kujaa maji ya mafuriko na kupoteza vyakula.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa

Ubelgiji imesitisha sherehe za kijadi za kuwasha fataki mjini Brussels katika mkesha wa mwaka mpya, kwa hofu ya shambulizi.

 

11 years ago

Habarileo

Mali yahofiwa kuvunja Taifa

Askofu Damian Dallu wa Kanisa Katoliki Jimbo la GeitaWATANZANIA wametakiwa kuwa makini na mali na rasilimali za nchi, ikiwemo gesi, mafuta, pembe za ndovu na dhahabu kwani zimeanza kuonesha dalili za kugawa Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali ya boti yahofiwa kuua saba

BOTI ya Kilimanjaro II imekumbwa na dhoruba katika mkondo wa Nungwi ikitokea Pemba kwenda Unguja, na abiria saba wanahofiwa kufa. Dhoruba hiyo ilitokea jana mchana na boti hiyo ilielezwa kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani