Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaonywa kutegemea misaada ya nje

WADAU wa Maendeleo kutoka asasi mbalimbali za kijamii wameishauri serikali kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi, kwani endapo itashindwa kutolewa kwa wakati inaweza kusababisha kwa namna moja au nyingine nchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Tanzania yahofiwa kutegemea zaidi misaada.

Na Ramadhan Mvungi,

Arusha.

 

Watafiti kutoka asasi na mashirika yasiyo ya kiserikali nchini wamebainisha kuwa huenda Tanzania ikajikuta katika utegemezi zaidi wa misaada kutoka kwa mataifa yaliyoendelea iwapo juhudi za makusudi na za haraka hazitachukuliwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa mali za Umma.

 

Tatizo jingine ni usimamizi mbovu wa rasilimali ikiwemo ukusanyaji hafifu wa mapato yanayotokana na rasilimali za maliasili za madini na gesi.

 

Katika mdahalo uliofanyika jijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Upinzani wakejeli Serikali kutegemea mikopo

Kambi rasmi ya upinzani bungeni imesema Serikali inatakiwa kukusanya Sh19.6 trilioni kwa mwaka tofauti na malengo iliyojiwekea ya Sh13.4 trilioni, huku ikihoji sababu za miradi ya maendeleo kutegemea mikopo ambayo alisema imeongeza ukubwa wa deni kwa wananchi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana: Tusitegemee misaada kutoka nje



NA THEODOS MGOMBA, MOSHI.
WATANZANIA wameshauriwa  kutotegemea misaada kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kuwaletea maendeleo yao. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, alisema hayo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Moshi Vijijini, katika Kata ya Arusha Chini.
Kinana alisema hakuna mataifa kutoka nje ambayo yako tayari  kusaidia maenendeleo ya watu bila ya wao  kujitahidi kuondokana na umasikini.Alisema tabia hiyo ya kutegemea misaada kutoka nje inawafanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mkapa aiponda misaada kutoka nje

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin William Mkapa amesema misaada inayotolewa na nchi za Magharibi kwa nchi za Afrika haina masilahi na ina lengo la kudhoofisha ukuaji wa uchumi wa nchi za Afrika .

 

10 years ago

Michuzi

JAMII YAASWA KUTOKUTEGEMEA MISAADA KUTOKA NJE

Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt  katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila mwezi  (THURDAY TALK) unaoandaliwa na kampuni ya Solution Blocks jijini Dar es Salaam jana.
JAMII ya watanzania wanatakiwa kutokutegemea misaada kutoka nje ya nchi  isipo kuwa tunatakiwa kujitolea  ili kusaidia jamii isiyojiweza  kwa jia ya harambee.
Hayo yamesemwa na  Mwenyekiti wa Rotary Dar Marathon na mtoa maada, Sharmilla Bhatt katika mkutano unaofanyika kila Alhamisi ya kila...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU MISAADA ILIYOKATALIWA

Na Magreth Kinabo –Maelezo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya amesema misaada inayotolewa na watu mbalimbali kwa ajili ya kusaidia jamii ni lazima iwe imekidhi viwango vya ubora, hivyo haitakiwi kuangaliwa kwa vigezo vya dini, itikadi wala siasa.  Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake baada kituo kimojwapo nchini kukataa misaada iliyotolewa na Mbunge wa Bukoba Mjini...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA

Wanajeshi wa nchini Nepal wakiwa wamebeba misaada kwaajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi
Kwa Msaada  wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi  lililotokea Jumamosi  nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...

 

9 years ago

StarTV

Serikali yaanza kuwapatia misaada waathiriwa Athari za upepo songea

Serikali Wilayani Songea  katika mkoa wa Ruvuma imetoa pole kwa WANANCHI waliopatwa na Maafa baada ya Nyumba zao kuezuliwa na Upepo ulioambatana na Mvua kali uliotokea katika Wilaya hiyo hivi karibuni.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesya amesema Kamati ya Maafa Wilaya ya Songea imeweza kukabiliana na janga hilo kwa kuanza kutoa Msaada kwa Kaya 8 zilizokumbwa na maafa hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Benson Mpesiya amesema Kamati ya Maafa Wilaya ya Songea baada ya kuona hali  mbaya ya Kaya 8...

 

11 years ago

Michuzi

Zanzibar itaendelea kuthamini misaada ya Serikali ya Misri - Maalim seif

Na Hassan Hamad, OMKR. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuthamini misaada inayotolewa na Serikali ya Misri katika kuendeleza na kukuza uchumi wa Zanzibar. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ameeleza hayo ofisini kwake Migombani, wakati akizungumza na balozi mdogo wa Misri anayemaliza muda wake balozi Walid Ismail.  Amesema Serikali ya Misri imekuwa mstari wa mbele kuisaidia Zanzibar katika nyanja mbali mbali za kiuchumi na ustawi wa jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani