SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s72-c/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
Wanajeshi wa nchini Nepal wakiwa wamebeba misaada kwaajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi
Kwa Msaada wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Jumamosi nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nepal yasema inasimamia vyema misaada
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Misaada yasambazwa Nepal
10 years ago
BBCSwahili04 May
Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka
10 years ago
BBCSwahili03 May
Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria
10 years ago
Uhuru Newspaper27 Oct
Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...
11 years ago
Habarileo16 May
Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’
HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kivuko cha Mv Magogoni shwari, yasema Serikali