Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA

Wanajeshi wa nchini Nepal wakiwa wamebeba misaada kwaajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi
Kwa Msaada  wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi  lililotokea Jumamosi  nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yasema inasimamia vyema misaada

Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya lalama kwamba inashindwa kusimamia vyema misaada ya dharura baada ya tetemeko la Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada yasambazwa Nepal

Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria

UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yasema hakuna mgonjwa wa ebola


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imekanusha kuwepo kwa ugonjwa wa ebola nchini, huku ikithibitisha kuwa mtu aliyedhaniwa kuwa na ugonjwa huo, anasumbuliwa na malaria.
Pia, wanafamilia wa karibu wa mgonjwa huyo wamechunguzwa na kuonekana  hawana dalili za ugonjwa huo au magonjwa jamii ya ebola, kama dengue na chikungunya.
Kauli hiyo ya serikali imetolewa baada ya sampuli ya damu iliyochukuliwa kutoka kwa mgonjwa huyo na kufanyiwa uchunguzi wa kimaabara, kuonyesha kuwa alikuwa akisumbuliwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’

HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Serikali yasema hakuna Ebola Tanzania

Tanzania imesema haina mgonjwa wa Ebola, baada ya kufanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa wawili waliotiliwa shaka kuwa na ugonjwa huo.

 

9 years ago

Mwananchi

Serikali yasema madini ‘kiduchu’ yamechimbwa

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, amesema asilimia 10 ya madini yaliyopo nchini ndiyo yaliyochimbwa tangu shughuli za uchimbaji zianze.

 

11 years ago

Mwananchi

Kivuko cha Mv Magogoni shwari, yasema Serikali

>Siku tatu baada ya Kivuko cha Mv Magogoni kupata hitilafu na kupoteza muelekeo, Serikali imewaondoa hofu na kuwahakikishia usalama wakazi wa Kigamboni na watumiaji wa kivuko hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani