Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misaada yasambazwa Nepal

Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yasema inasimamia vyema misaada

Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya lalama kwamba inashindwa kusimamia vyema misaada ya dharura baada ya tetemeko la Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria

UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA

Wanajeshi wa nchini Nepal wakiwa wamebeba misaada kwaajili ya wahanga wa tetemeko la ardhi
Kwa Msaada  wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi  lililotokea Jumamosi  nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...

 

10 years ago

Habarileo

Katiba Inayopendekezwa yasambazwa kwa wingi nchini

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose MigiroSERIKALI imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yazidi kutetemeshwa

Hofu imeendelea Nepal ikiwa ni siku kumi na saba tu,baada ya tetemeko kubwa kuipiga nchi hiyo na kuua zaidi ya watu elfu nane.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maporomoko yawaua watu 15 Nepal

Takriban watu 15 wamefariki huko Nepal baada ya maporomoko yaliosababishwa na mvua kubwa kuvizika vijiji sita huko kaskazini mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lawaua watu 40 Nepal

Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Idadi ya waliofariki yafikia 96

Waziri wa maswala ya ndani nchini Nepal anasema kuwa idadi ya watu waliofariki katika tetemeko la ardhi Nchini humo, imepanda na kufikia 96.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani