Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria
UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Misaada yasambazwa Nepal
10 years ago
BBCSwahili04 May
Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nepal yasema inasimamia vyema misaada
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Jamaica kulegeza sheria kuhusu Marijuana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s72-c/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s1600/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
Kwa Msaada wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Jumamosi nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Afrika yatakiwa kutotegema misaada
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
9 years ago
Habarileo01 Jan
Sheria ya wazee yatakiwa haraka
SERIKALI imeshauriwa kufanya haraka kutunga Sheria ya wazee ili kuwawezesha wazee kupata haki zao za msingi.
9 years ago
StarTV31 Dec
Serikali yatakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi
Serikali imetakiwa kurekebisha sheria ya manunuzi pamoja na kuweka kipaumbele utoaji wa zabuni kwa viwanda vya ndani kwa nia ya kuvilinda na kuongeza ustawi wa sekta ya viwanda Ili kuendeleza viwanda vilivyopo hapa nchini.
Sambamba na hilo serikali imetakiwa kuzuia uingizaji holela wa bidhaa kutoka nje ya nchi ili kutoa nafasi kwa bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
Wakizungumza katika kiwanda cha utengenezaji wa transforma cha TANELEC kilichopo katika eneo la viwanda, njiro jijini...