Jamaica kulegeza sheria kuhusu Marijuana
Serikali ya Jamaica inatafakari upya mpango wa kufanyia mageuzi sheria zake za kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 May
Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria
UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?
Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
EU yaikosoa serikalli ya TZ kuhusu sheria
Washirika wa kimaendeleo wameonyesha kutoridhishwa kwao na utekelezaji wa sheria ya uhalifu wa mitandaoni ya mwaka 2005 nchini Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXVHL5745KwFYlfLinvn*iml8DSSBWOrV44kljr4*IFVnwJfj*AIz7UwlO2lJWmH76sD0LLgiEEwd22xwpk6RiM1/Kabula.jpg)
MASTAA WANASEMAJE KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO ?
Na Hamida Hassan
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete aliipitisha sheria ya makosa ya mitandao kwa kutia saini.Ni sheria ambayo wengi hawajajua namna itakavyofanya kazi na huenda wengi wakaingia kwenye mtego. Jaqueline Wolper. Miongoni mwa watu watakaojikuta kwenye wakati mgumu kupitia sheria hii ni mastaa, tena hasa wa kike. Je, wao wanaizungumziaje sheria hiyo? Hebu wasikie...
10 years ago
Mwananchi20 Mar
Nini kimejificha kuhusu Muswada wa Sheria ya Habari?
Tunawaunga mkono wabunge waliojitokeza kupinga kuwasilishwa kwa hati ya dharura muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa mwaka 2015.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Se4Z2u5n3fk/VV36obRRyuI/AAAAAAAABmQ/nyFrT5TShv0/s72-c/happy-babies-and-moms-22640-hd-wallpapers.jpg)
SHERIA YA UJERUMANI NA DENMARK KUHUSU KUWAPA MAJINA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Se4Z2u5n3fk/VV36obRRyuI/AAAAAAAABmQ/nyFrT5TShv0/s400/happy-babies-and-moms-22640-hd-wallpapers.jpg)
Ujerumani na Denmark kisheria hawaruhusiwi kuwapa watoto majina yoyote nje ya majina 7000 ambayo tayari yamepitishwa, ikitokea mtu atapenda kumuita mwanae jina alipendalo basi atatakiwa kuomba kibali maalum kanisani alafu baadae maombi hayo yanawasilishwa Serikalini, jina likipitishwa basi unaruhusiwa kulitumia.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SIEh7sOkwxE/VVVJfJjhn3I/AAAAAAAHXX8/ElKUhPidnV8/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: UNAFAHAMU NINI KUHUSU MTAJI WA KAMPUNI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SIEh7sOkwxE/VVVJfJjhn3I/AAAAAAAHXX8/ElKUhPidnV8/s640/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZtbHjK784ng/VVuWbBB9D_I/AAAAAAAHYVo/FNId1LvkyGE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: USIYOJUA KUHUSU UKURUGENZI KATIKA KAMPUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZtbHjK784ng/VVuWbBB9D_I/AAAAAAAHYVo/FNId1LvkyGE/s320/1.1774256.jpg)
Mara nyingi unapounda kampuni huwa ni lazima kueleza katika zile Memorandum kuhusu ukurugenzi na wakurugenzi. Huwezi kusajili kampuni ikiwa memorandum zako hazioneshi lolote kuhusu hilo.
Kimsingi nitaeleza machache japo yapo mengi kuhusu ukurugenzi na wakurugenzi katika kampuni. Kwa kampuni zetu ndogo ndogo za kijasiriamali mara zote wakurugenzi ndio hao hao wamiliki na ndio hao hao wana hisa. Niseme mapema tu kuwa...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Mawakili kesi ya Sheikh Ponda wavutana kuhusu sheria ya ushahidi
Shahidi watatu katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda ametoa ushahidi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro huku mawakili wa upande wa mashtaka na wa utetezi wakisigana kwenye kifungu cha 150 hadi 152 cha sheria ya ushahidi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania