MAKALA YA SHERIA: USIYOJUA KUHUSU UKURUGENZI KATIKA KAMPUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZtbHjK784ng/VVuWbBB9D_I/AAAAAAAHYVo/FNId1LvkyGE/s72-c/1.1774256.jpg)
Na Bashir Yakub.
Mara nyingi unapounda kampuni huwa ni lazima kueleza katika zile Memorandum kuhusu ukurugenzi na wakurugenzi. Huwezi kusajili kampuni ikiwa memorandum zako hazioneshi lolote kuhusu hilo.
Kimsingi nitaeleza machache japo yapo mengi kuhusu ukurugenzi na wakurugenzi katika kampuni. Kwa kampuni zetu ndogo ndogo za kijasiriamali mara zote wakurugenzi ndio hao hao wamiliki na ndio hao hao wana hisa. Niseme mapema tu kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SIEh7sOkwxE/VVVJfJjhn3I/AAAAAAAHXX8/ElKUhPidnV8/s72-c/download.jpg)
makala ya sheria: UNAFAHAMU NINI KUHUSU MTAJI WA KAMPUNI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SIEh7sOkwxE/VVVJfJjhn3I/AAAAAAAHXX8/ElKUhPidnV8/s640/download.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cgpWfTY9q1c/VJfjbj8TE7I/AAAAAAAG4-4/tL6DQzeT-r4/s72-c/images.jpg)
makala mpya ya sheria: MILIKI KAMPUNI , JIFUNZE NAMNA YA KUUNDA KAMPUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cgpWfTY9q1c/VJfjbj8TE7I/AAAAAAAG4-4/tL6DQzeT-r4/s1600/images.jpg)
Si rahisi kufanikiwa katika biashara bila kuifanya biashara yako katika mtindo wa kampuni.
Hata iwe ndogo ya kuuza mayai au kufuga kuku mafanikio zaidi ni pale...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bYSKMi_bzjY/VMXk9D9rHxI/AAAAAAAG_dg/rAORO3gzyQg/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE UMEFUNGUA/UNATAKA KUFUNGUA KAMPUNI, JIFUNZE KAMPUNI YAKO INAVYOTAKIWA KULIPA KODI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYSKMi_bzjY/VMXk9D9rHxI/AAAAAAAG_dg/rAORO3gzyQg/s1600/images.jpg)
Vijana wengi wajasiriamali wadogo wamefungua makampuni. Hakika wote waliofanya hivi wamefanya jambo jema linaloendana na wakati. Niliwahi kuandika wakati nikielekeza namna nyepesi kabisa ya kufungua kampuni kuwa, ni vigumu kwa leo kufanya biashara na ukawa na mafanikio nje ya kampuni. Nikasema hata kama unauza maziwa, mama ntilie, unauza mayai, kibanda cha huduma ya fedha kupitia simu,unauza mihogo, haizuiwi kufungua kampuni.
Kuna kampuni hata za mtaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SGVXPbPiFl0/VVkKE_vYzUI/AAAAAAAHX0M/kZ9HONr3Jtg/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: GHARAMA NDOGO KABISA YA KUSAJILI KAMPUNI HII HAPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGVXPbPiFl0/VVkKE_vYzUI/AAAAAAAHX0M/kZ9HONr3Jtg/s320/1.1774256.jpg)
Zipo biashara ambazo watu wengi bado wanazifanya nje ya kampuni lakini ukweli ni kuwa biashara hizo kwa ulimwengu wa...
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: ALIPWA USD 90,000 KWA KUISHTAKI KAMPUNI YA SIMU, NA WEWE CHUKUA HATUA SASA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iAAnDKnbiwo/VVLy5a1u9GI/AAAAAAAHW9Y/bE1dDhAq1NE/s320/1.1774256.jpg)
Makampuni ya simu kama Vodacon, Airtel, Tigo, Zantel, Sasatel, na mengineyo yamekuwa yakitenda makosa mbalimbali kwa wateja wao. Mara kwa mara wateja wa simu wamekuwa wakilalamikia matendo ya makampuni haya lakini wengi wao wamekuwa hawachukui hatua zaidi ya kulalamika. Ni watu wachache mno ambao wamekwishachukua hatua za kisheria dhidi ya makampuni haya licha ya uonevu mkubwa wa kihuduma wanaousababisha. Ukiangalia kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MAMBO YA MSINGI KISHERIA KUHUSU UMILIKI WA ARDHI WA PAMOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HCsPqyAzjik/VkxSMWPy_gI/AAAAAAAIGhA/RFAhzzYhya0/s320/1.1774256.jpg)
Ardhi inaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Inaweza kuwa nyumba au kiwanja. Vyote hivi vinaweza kumilikiwa na mtu zaidi ya mmoja. Kumiliki ardhi kwa zaidi ya mtu mmoja sio lazima iwe kwa wanandoa. Inaweza kuwa ndugu , marafiki , kikundi cha watu kama wafanyabiashara, wana saccos, kikundi cha michezo na aina yoyote ya kikundi cha kimaendeleo. Umiliki wa ardhi kwa pamoja unatofauti na umiliki binafsi yaani umiliki...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mambo usiyojua kuhusu ziara ya Papa Francis nchini Kenya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s72-c/12.jpg)
MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3rYO1fT7-a8/VMapyZS60II/AAAAAAAG_o0/ZnWy8X5VYn0/s1600/12.jpg)
Katika makala iliyopita nilisema kuwa vijana wengi wajasiriamali wanaofungua biashara za makampuni wanao uwezo mkubwa wa kufika mbali isipokuwa tatizo lao ni taarifa za mambo mbalimbali kuhusu uendeshaji wa kampuni hizo.
Mambo ya uendeshaji wa kampuni ni mepesi sana na yanawezwa na mtu yeyote isiopokuwa tatizo ni taarifa na elimu ya namna ya uendeshaji kisheria ili kampuni ionekane ni kampuni. Nilieleza...