Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka
Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
uwepo mfumo wa kutuwajibisha sote watoaji na wapokeaji wa misaada -TANZANIA
![](https://3.bp.blogspot.com/-dMiYFXhJxRc/VGR9IxbRLWI/AAAAAAAGw20/On8YkJlvQP0/s640/unnamed%2B(93).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-4tfafWbnsqs/VGR9JFFW9EI/AAAAAAAGw2w/lQ5zF3vbfec/s640/unnamed%2B(94).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FwJywR8ndPA/VK_QThEE6fI/AAAAAAAG8Ms/OUnsqZ3KuxQ/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Ban Ki Moon asikitishwa na ongezeko la mashambulizi dhidi ya walinzi wa amani na watoaji wa misaada ya kibinadamu
![](http://2.bp.blogspot.com/-FwJywR8ndPA/VK_QThEE6fI/AAAAAAAG8Ms/OUnsqZ3KuxQ/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sGYIGfbGR-M/VK_RCS6jX6I/AAAAAAAG8M4/r488MsuQsLY/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Misaada yasambazwa Nepal
Misaada ya kibinadamu imeanza kuwasili katika wilaya ya Dhading, karibu na kitovu cha tetemeko la ardhi lililotokea nchini Nepal
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Nepal yasema inasimamia vyema misaada
Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya lalama kwamba inashindwa kusimamia vyema misaada ya dharura baada ya tetemeko la Jumamosi.
10 years ago
BBCSwahili03 May
Misaada:Nepal yatakiwa kulegeza sheria
UN umeishauri serikali ya Nepal kulegeza vizuizi vya ushuru ambavyo vinatatiza utoaji wa misaada kwa waathiriwa wa tetemeko la ardhi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s72-c/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
SERIKALI YA NEPAL YASEMA INASIMAMIA VYEMA MISAADA
![](http://2.bp.blogspot.com/-a-3xeIR0UdY/VUEPGF5e1xI/AAAAAAAHULI/1jJPqnIfXqc/s1600/150429125302_nepal_relief_army_624x351_ap.jpg)
Kwa Msaada wa mtandao. Serikali ya Nepal imejitetea dhidi ya malalamiko juu ya misaada ya dharura, kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Jumamosi nchini humo.
Mkuu wa masuala ya dharura wa Nepal,Rameshwor Dangal,ameambia BBC serikali inajitahidi iwezavyo, lakini mkasa huo ulikumba majimbo 20 nchini humo na hivyo mahitaji ni mengi sana ndiposasa serikali inaelemewa.
Hali ya...
10 years ago
Habarileo10 Dec
Machinga watakiwa kuondoka Ubungo
MANISPAA ya Kinondoni imetaka wafanyabiashara ndogo (machinga) wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa, kama Ubungo mataa, kuondoka haraka katika maeneo hayo.
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Wakazi wa Benghazi watakiwa kuondoka
Wakazi wa mjini Beghazi nchini Libya watakiwa kuondoka kupisha operesheni dhidi ya Wanamgambo
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto
Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania