Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Machinga watakiwa kuondoka Ubungo

MANISPAA ya Kinondoni imetaka wafanyabiashara ndogo (machinga) wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa, kama Ubungo mataa, kuondoka haraka katika maeneo hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex

WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa  katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao  katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakazi wa Benghazi watakiwa kuondoka

Wakazi wa mjini Beghazi nchini Libya watakiwa kuondoka kupisha operesheni dhidi ya Wanamgambo

 

11 years ago

Mwananchi

Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto

Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

5 years ago

Michuzi

Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC





 






Na Mwandishi wetu, Uvinza.

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.

Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta  3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Hatujengi Machinga Complex’

Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imesema haina mpango wa kujenga majengo makubwa ya biashara kama Machinga Complex, na badala yake iko kwenye mkakati wa kuanzisha vituo vidogo vya wafanyabiashara wadogo katika kila kituo cha daladala.

 

5 years ago

Michuzi

MACHINGA WALIA NA VIBAKA IRINGA


Katibu mkuu wa umoja wa wajasiliamali wadogo wadogo mkoa wa Iringa Joseph Mwanakijiji akiongea na waandishi wa habari baada ya kutokea wimbi la vibaka manispaa ya Iringa kwa kuwaibia wajasiliamali.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga manispaa ya Iringa wameendelea kuathirika na wizi unaofanywa na vibaka kwa kuvunja stoo na kuiba mali za wajasiliamali hao.
Akizungumza na waandishi wa habari katibu mkuu wa machinga mkoa wa Iringa Joseph Mwanakijiji alisema...

 

10 years ago

Habarileo

Machinga- Tuna 'mikataba' na mgambo

WAFANYABIASHARA ndogo (wamachinga) wamedai hatua ya kuondolewa katika maeneo mbalimbali ya jiji wasifanye biashara, huenda ikachukua muda mrefu kufanikiwa, kwa kile walichodai wana ‘mikataba’ maalumu na mgambo wa jiji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda, machinga wamponza Zungu

MBUNGE wa Ilala, Musa Azan ‘Zungu’ amehojiwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za uchochezi wa kutetea wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na waendesha bodaboda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani