Machinga watakiwa kuondoka Ubungo
MANISPAA ya Kinondoni imetaka wafanyabiashara ndogo (machinga) wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa, kama Ubungo mataa, kuondoka haraka katika maeneo hayo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Wakazi wa Benghazi watakiwa kuondoka
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto
10 years ago
BBCSwahili04 May
Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WJ4-br1CV2w/XpqGuetiRBI/AAAAAAALnUM/1wPMHh-E-74gAz1oCG6ZS93GPwcZh04aQCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC
Na Mwandishi wetu, Uvinza.
Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.
Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta 3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
‘Hatujengi Machinga Complex’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_HRB7MAmnKk/XsulKzWqk8I/AAAAAAAAH7k/u6mAfdB-eA0fu-zJVEqrdUrtiHewpIiSQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200522_161636.jpg)
MACHINGA WALIA NA VIBAKA IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_HRB7MAmnKk/XsulKzWqk8I/AAAAAAAAH7k/u6mAfdB-eA0fu-zJVEqrdUrtiHewpIiSQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200522_161636.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama machinga manispaa ya Iringa wameendelea kuathirika na wizi unaofanywa na vibaka kwa kuvunja stoo na kuiba mali za wajasiliamali hao.
Akizungumza na waandishi wa habari katibu mkuu wa machinga mkoa wa Iringa Joseph Mwanakijiji alisema...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Machinga- Tuna 'mikataba' na mgambo
WAFANYABIASHARA ndogo (wamachinga) wamedai hatua ya kuondolewa katika maeneo mbalimbali ya jiji wasifanye biashara, huenda ikachukua muda mrefu kufanikiwa, kwa kile walichodai wana ‘mikataba’ maalumu na mgambo wa jiji.
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
Bodaboda, machinga wamponza Zungu
MBUNGE wa Ilala, Musa Azan ‘Zungu’ amehojiwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za uchochezi wa kutetea wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na waendesha bodaboda...