‘Hatujengi Machinga Complex’
Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam imesema haina mpango wa kujenga majengo makubwa ya biashara kama Machinga Complex, na badala yake iko kwenye mkakati wa kuanzisha vituo vidogo vya wafanyabiashara wadogo katika kila kituo cha daladala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Machinga Complex kuboreshwa kuvutia wawekezaji
JENGO la kisasa la biashara lijulikanalo kama ‘Machinga Complex’, lililopo jijini Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa linatarajiwa kufanyiwa maboresho muhimu, ili kuleta mvuto zaidi wa kibiashara kwa bidhaa...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Machinga Complex ‘kuuzwa’ kwa wachina
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Machinga Complex yaungua kwa moto
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Twanga kuzindua ukumbi wake Machinga Complex
KAMPUNI ya The African Stars Entertainment (ASET), inayomiliki bendi ya Twanga Pepeta, kesho inatarajiwa kuzindua ukumbi wake mpya wa kisasa utakaojulikana kwa jina la ‘Business Lounge’ ndani ya jengo la...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waathirika wa moto Karume wahamishiwe Machinga Complex
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Kituo Machinga Complex chatengewa mil. 250/-
KITUO kipya cha mabasi eneo la Machinga Complex, kimetengewa sh. milioni 250 kati ya milioni 450 zilizoombwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala. Meya wa Manispaa hiyo, Jerry Silaa, alisema...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-V_GJt0EVr7U/VGXsMp9ky-I/AAAAAAAA8uI/3M0DYhNjAzU/s72-c/Machinga%2BComplex.jpg)
JENGO LA MACHINGA COMPLEX LAUNGUA KWA MOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-V_GJt0EVr7U/VGXsMp9ky-I/AAAAAAAA8uI/3M0DYhNjAzU/s1600/Machinga%2BComplex.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Dec
‘Soko la Mchikichini livunjwe kuiokoa Machinga Complex’
BAADA ya Kamati ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, kubainisha upungufu uliopo katika Soko la Machinga Complex Ilala jijini Dar es Salaam ikiwemo soko hilo kujiendesha kwa hasara, baadhi ya wabunge wameshauri Serikali iangalie uwezekano wa kuvunja Soko la Mchikichini lililopo jirani.