Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto

Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC





 






Na Mwandishi wetu, Uvinza.

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.

Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta  3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka

Serikali imesema haitaogopa wala kumvumilia mtu atakayevamia maeneo ya hifadhi na mapori ya akiba kwa lengo la kuhujumu maliasili.

 

10 years ago

Habarileo

Machinga watakiwa kuondoka Ubungo

MANISPAA ya Kinondoni imetaka wafanyabiashara ndogo (machinga) wanaofanya shughuli zao katika maeneo yasiyoruhusiwa, kama Ubungo mataa, kuondoka haraka katika maeneo hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakazi wa Benghazi watakiwa kuondoka

Wakazi wa mjini Beghazi nchini Libya watakiwa kuondoka kupisha operesheni dhidi ya Wanamgambo

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal:Watoaji misaada watakiwa kuondoka

Nepal imewataka watoa huduma za misaada ya kigeni kwenye mji mkuu Kathmandu na maeneo yanayozunguka mji huo kurudi makwao

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

11 years ago

IPPmedia

Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto


Inside the Kiteto land crisis 2: Greed for land, dirty politics fuel killing fields of Kiteto
IPPmedia
Last week The Guardian on Sunday brought you a story on the recent land conflict pitting farmers and pastoralists at the Kalikala hamlet in Kiteto District. In this second installment Gerald Kitabu reveals how the unfolding feud led to the killings of more than 10 ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wavamizi ondokeni’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewataka wananchi walioingia kinyume cha sheria kwenye Hifadhi ya Taifa Tarangire na Pori la Akiba la Mkungunero, mkoani Manyara, na Dodoma kuondoka mara moja maeneo hayo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wavamizi Stakishari mbaroni

WATU wawili wanaodaiwa kuhusika katika uvamizi na mauaji ya wiki iliyopita kwenye Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam, wametiwa mbaroni.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, mbali na watu hao wanaoendelea kushikiliwa na polisi, watuhumiwa wengine watatu wa tukio hilo waliuawa. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kova alisema Ijumaa iliyopita, polisi walipata taarifa za kuaminika kwamba majambazi waliohusika Stakishari wapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani