Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka
Serikali imesema haitaogopa wala kumvumilia mtu atakayevamia maeneo ya hifadhi na mapori ya akiba kwa lengo la kuhujumu maliasili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI KUONDOKA KATIKA HIFADHI
NA LOVENESS BERNARD, Mwanza
Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri Nyalandu alisema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikitumia...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto
Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WJ4-br1CV2w/XpqGuetiRBI/AAAAAAALnUM/1wPMHh-E-74gAz1oCG6ZS93GPwcZh04aQCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
Wavamizi wa maeneo ya Uwekezaji watakiwa kuondoka-TIC
Na Mwandishi wetu, Uvinza.
Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Geoffrey Mwambe amesema ipo haja kwa watu waliovamia maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya Uwekezaji yanayomilikiwa na Kituo hicho kuondoka ili kupisha shughuli zilizotengwa kwa matumizi ya maeneo hayo.
Maeneo hayo yaliyovamiwa tayari yametengwa na Serikali kwa ajili ya uwekezaji wa kilimo kikubwa cha michikichi na kumilikishwa TIC ikiwepo shamba Na. 205 lenye ukubwa wa hekta 3,249.76 lililopo eneo la Basanza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uWi8FYbX_4M/XsEtg-Afv5I/AAAAAAALqjY/HT_0yhxmbGEpX5psR7dDDYH1Ut1W_3ZMACLcBGAsYHQ/s72-c/1.-1-768x509.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KANYASU AKERWA NA WAVAMIZI WA MAENEO YA HIFADHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uWi8FYbX_4M/XsEtg-Afv5I/AAAAAAALqjY/HT_0yhxmbGEpX5psR7dDDYH1Ut1W_3ZMACLcBGAsYHQ/s640/1.-1-768x509.jpg)
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akioneshwa eneo na Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Babati, Felix Mwasenga katika Ushoroba wa Kwakuchinja ambao ni muhimu kwa mapito ya wanyamapori wanaotoka katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kuelekea HIfadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara ukiwa umevamiwa na baadhi ya wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu katika wilaya ya Babati mkoani Manyara. Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Mhe, Elizabeth Kitundu
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-2-1-1024x678.jpg)
Naibu Waziri wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKj9as-7TklWRFpQnCrmLP4fKunjdxT2SNd6t550CwhT3gbi2M1cm5farmmRwjRorvSQdvTrnMUPplwLvvsjkGY5/unnamed1.jpg?width=650)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
Mh. Waziri Nyalandu akihojiwa katika banda la Tanzania na mwandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Check inn cha Qatar Bw. Tajamul Hussain kuhusu utalii wa Tanzania kwa ujumla. MKurugenzi wa kampuni ya usafirishaji watalii ya Zara tours…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XgbQEQme7mo/VPpCGLJQEuI/AAAAAAAHIc8/1KvRQe_z8i4/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
Na Geofrey Tengeneza – Berlin Ujerumani Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu amekutana na waziri mwenzake wa Biashara na Utalii wa Kenya Bibi Phylis Kandie katika banda la Kenya na kuwa na mazungumzo yanayohusu ushirikiano wa nchi mbili katika sekta ya Utalii. Mazungumzo hayo hayakuwa rasmi hivyo hayakuhudhuriwa na wandishi wa habari Aidha Wiziri Nyalandu alitembelea banda la Tanzania na kuzungumza na washiriki wa maonesho ya ITB kutoka makampuni mbalimbali washiriki hao kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Waziri mkuu Italia radhi kuondoka
Rais wa Italia, Giorgio Napolitano, amepokea barua ya kujiuzulu kwa waziri mkuu, Enrico Letta. Letta aliiwasilisha rasmi barua hiyo siku moja baada ya chama chake kupiga kura kujitoa kwenye muungano wa utawala.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggery Mwanri amezuia kufanyika kwa malipo yoyote kwa mkandarasi mmoja wilayani Maswa mkoani Simiyu baada ya kugundua kuwepo kwa kasoro katika mradi wa ujenzi wa mkandaasi huyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania