Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggery Mwanri amezuia kufanyika kwa malipo yoyote kwa mkandarasi mmoja wilayani Maswa mkoani Simiyu baada ya kugundua kuwepo kwa kasoro katika mradi wa ujenzi wa mkandaasi huyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Naibu Waziri ambana mkandarasi

NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika ambana mkandarasi

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aagiza mkandarasi alipwe

RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Maji na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kutafuta fedha za kumlipa mkandarasi kujenga bwawa la Kidete anayedai Sh bilioni mbili, ili arejee kazini kukamilisha kazi iliyopangwa. Rais Kikwete ametoa agizo hilo baada ya Mbunge wa Kilosa, Mustafa Mkulo, kumueleza Rais kwamba ujenzi wa bwawa hilo umesimama kwa muda mrefu, kwa sababu mkandarasi anaidai serikali Sh bilioni mbili.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ambana Mganga Mkuu Rufiji

MBUNGE wa Rufiji, Dk Seif Rashid, amemwagiza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, kupeleka dawa katika zahanati zote zilizopo katika jimbo hilo, ili zisaidie wananchi wanaokabiliana na mafuriko yanaoendelea jimboni humo.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri amtimua mkandarasi Dar

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amemtimua kazi mkandarasi anayejenga mfereji wa Buguruni kwa Mnyamani, Manispaa ya Ilala kwa kushindwa kuujenga kwa kiwango kinachotakiwa.

 

5 years ago

Michuzi

Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe

Na Amiri Kilagalila,Njombe
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya  STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.

Waziri Mbalawa  amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.

Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI

Na Ripota wetu – Morogoro Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, amefanya ziara mkoani Morogoro na kumwagiza Mkandarasi, Kampuni ya State Grid, anayetekeleza Mradi wa Umeme Vijijini, mkoani humo kumaliza kazi kwa wakati. Mgalu alilazimika kufanya ziara hiyo baada ya kupokea malalamiko ya kusuasua kwa Mradi husika ambapo aliwaagiza watendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kumsimamia Mkandarasi huyo ili kuhakikisha anakamilisha kazi kwa muda...

 

5 years ago

CCM Blog

MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI

Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani( kushoto)akitoa maelekezo kwa msimamizi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Kilole,wilayani Korogwe mkoani Tanga, Mhandisi Peter Magari, wakati waziri wa Nishati alipofanya ziara ya kushtukiza kutembelea kituo hicho kilichojengwa 1929 ambacho kinafanyiwa ukarabati kubosha utendaji kazi wake.Muonekano wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Kilole wilayani Korogwe mkoani Tanga kilichojengwa mwaka 1929, chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2.5 za...

 

5 years ago

Michuzi

JUNI 30,2020,MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI


Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani( kushoto)akitoa maelekezo kwa msimamizi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Kilole,wilayani Korogwe mkoani Tanga, Mhandisi Peter Magari, wakati waziri wa Nishati alipofanya ziara ya kushtukiza kutembelea kituo hicho kilichojengwa 1929 ambacho kinafanyiwa ukarabati kubosha utendaji kazi wake.Muonekano wa kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani