Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggery Mwanri amezuia kufanyika kwa malipo yoyote kwa mkandarasi mmoja wilayani Maswa mkoani Simiyu baada ya kugundua kuwepo kwa kasoro katika mradi wa ujenzi wa mkandaasi huyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Aug
Naibu Waziri ambana mkandarasi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Mnyika ambana mkandarasi
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amemtaka mkandarasi aliyeingia mkataba wa mradi mkubwa wa maji kutoka Mlandizi hadi kwenye matenki ya Kimara na Mtaa wa Kwembe, aharakishe na kuukamilisha kwa...
10 years ago
Habarileo26 Aug
Kikwete aagiza mkandarasi alipwe
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya Maji na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, kutafuta fedha za kumlipa mkandarasi kujenga bwawa la Kidete anayedai Sh bilioni mbili, ili arejee kazini kukamilisha kazi iliyopangwa. Rais Kikwete ametoa agizo hilo baada ya Mbunge wa Kilosa, Mustafa Mkulo, kumueleza Rais kwamba ujenzi wa bwawa hilo umesimama kwa muda mrefu, kwa sababu mkandarasi anaidai serikali Sh bilioni mbili.
11 years ago
Habarileo05 May
Waziri ambana Mganga Mkuu Rufiji
MBUNGE wa Rufiji, Dk Seif Rashid, amemwagiza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, kupeleka dawa katika zahanati zote zilizopo katika jimbo hilo, ili zisaidie wananchi wanaokabiliana na mafuriko yanaoendelea jimboni humo.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Waziri amtimua mkandarasi Dar
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri Mbalawa amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.
Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s400/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
JUNI 30,2020,MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)