Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri ambana Mganga Mkuu Rufiji

MBUNGE wa Rufiji, Dk Seif Rashid, amemwagiza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, kupeleka dawa katika zahanati zote zilizopo katika jimbo hilo, ili zisaidie wananchi wanaokabiliana na mafuriko yanaoendelea jimboni humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Naibu Waziri ambana mkandarasi

NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe

Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggery Mwanri amezuia kufanyika kwa malipo yoyote kwa mkandarasi mmoja wilayani Maswa mkoani Simiyu baada ya kugundua kuwepo kwa kasoro katika mradi wa ujenzi wa mkandaasi huyo.

 

9 years ago

Michuzi

JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

10 years ago

GPL

ABDULRAHMAN KINANA KATIBU MKUU WA CCM AENDELEA NA ZIARA RUFIJI‏

Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Juma Abeid Diwani wa Kata ya Magawa wilayani Mkuranga wakati alipotembelea shamba la Mikorosho lenye hekari 1000 ambapo mikorosho inayokaribia elfu 20 imeharibika vibaya baada ya kupata ugonjwa unaonyausha mikorosho hiyo , Diwani huyo amesema wananchi wa kata hiyo wako katika hali mbaya kwakuwa zaidi ya miaka minne sasa hawajavuna chochote na maisha yao...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA UJENZI AKAGUA KIVUKO CHA MV UTETE WILAYANI RUFIJI MKOANI PWANI

Naibu Waziri wa Ujenzi Eng. Gerson Lwenge(wa kwanza) akishuka ngazi mara baada ya kukagua kivuko cha MV-Utete ambacho hakitoi huduma ya usafirishaji kutokana na kupungua kwa kina cha maji cha mto Rufiji.Muonekano wa kivuko cha MV-Utete ambacho kimeegeshwa na kusitisha huduma zake kutokana na kupungua kwa kina cha maji cha mto rufiji.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

KAMATI YA PAC YAMTAKA WAZIRI MKUU, MWANASHERIA MKUU, WAZIRI WA NISHATI NA MADINI WAWAJIBIKE KUHUSU RIPOTI YA TEGETA ESCROW

Waziri Mkuu Mizengo Pinda. WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW. -Kamati, kwa kuzingatia kielelezo namba 22, inathibitisha bila shaka kwamba, Waziri Mkuu alikuwa analijua jambo hili vizuri na kwamba aliridhia muamala huu ufanyike. Ndiyo maana katika maelezo yake ya
Bungeni mara kadhaa...

 

10 years ago

Habarileo

Mganga Mkuu aionya taasisi ya Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.TAASISI ya Maendeleo ya Jimbo la Arusha (ArDF) imeshauriwa kushirikisha Kituo cha Maendeleo ya Elimu ya Afya Arusha (CEDHA), kila hatua ya ujenzi wa chuo cha wauguzi, kinachotarajiwa kujengwa na taasisi inayoshughulika na uzazi bora na afya ya mama na mtoto ya Maternity Africa.

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge amkataa mganga mkuu wa wilaya

MBUNGE wa Jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe amemkataa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Emmanuel Mihayo kwa madai ya kushindwa kusimamia na kutatua matatizo mbalimbali ya watumishi wa afya, hali inayosababisha hospitali hiyo kugubikwa na migogoro dhidi ya watumishi wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani