Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge amkataa mganga mkuu wa wilaya

MBUNGE wa Jimbo la Nzega Mjini, Hussein Bashe amemkataa Mganga Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Emmanuel Mihayo kwa madai ya kushindwa kusimamia na kutatua matatizo mbalimbali ya watumishi wa afya, hali inayosababisha hospitali hiyo kugubikwa na migogoro dhidi ya watumishi wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA HAI AAINISHA MAAFA YA WILAYA yake, AOMBA MISAADA YA HALI NA MALI

Wapendwa tunahitaji misaada yenu ya hali na mali.Hali halisi ndiyo kama mtakavyoisoma katika hii taarifa kwa ufafanuzi wowote waweza kuwasiliana nami kwa njia hii ama simu yangu +255 713682268 Regards Novatus Makunga Mkuu wa Wilaya ya Hai,  Kilimanjaro

 

10 years ago

Dewji Blog

JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya

Ikulu-tz

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Anthony Peter Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, kuanzia leo, Jumatatu, Mei 25, 2015. Aidha, Rais Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa Wilaya kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa Wilaya mbali mbali nchini. Katika mabadiliko hayo, Rais Kikwete amemhamisha Luteni Edward Ole Lenga kutoka Wilaya ya Mkalama, Mkoa wa Singida kwenda kuwa mkuu wa wilaya mpya ya Kyerwa, Mkoa...

 

9 years ago

Habarileo

DC aagiza mganga mkuu kuvuliwa madaraka

MKUU wa Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, Ponsiano Nyami ameagiza kuvuliwa madaraka kwa Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Byuna, Inocent Magembe kwa kukiuka miiko ya kazi kwa kufanya uzembe na kusababisha mjamzito, Esther Maige kujifungulia nyumbani. Uamuzi huo aliutoa jana ofisini kwake wakati akizungumza na waandishi wa habari kutokana na tukio lililotokea juzi juu ya daktari huyo kutompatia huduma ya matibabu yanayofaa mjamzito aliyefika kituoni hapo na kuamuru arudishwe nyumbani na kisha muda...

 

10 years ago

Habarileo

Mganga Mkuu aionya taasisi ya Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.TAASISI ya Maendeleo ya Jimbo la Arusha (ArDF) imeshauriwa kushirikisha Kituo cha Maendeleo ya Elimu ya Afya Arusha (CEDHA), kila hatua ya ujenzi wa chuo cha wauguzi, kinachotarajiwa kujengwa na taasisi inayoshughulika na uzazi bora na afya ya mama na mtoto ya Maternity Africa.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri ambana Mganga Mkuu Rufiji

MBUNGE wa Rufiji, Dk Seif Rashid, amemwagiza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, kupeleka dawa katika zahanati zote zilizopo katika jimbo hilo, ili zisaidie wananchi wanaokabiliana na mafuriko yanaoendelea jimboni humo.

 

10 years ago

Michuzi

Kanusho Kutoka Ofisi ya Mbunge na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa Kuhusu Uvumi Uliozagaa Kwenye Mitandao Mbalimbali ya Kijamii Kuwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Edward Lowassa Kulazwa nchini Ujerumani.

 Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mhe Edward LowassaMsemaji wa Waziri Mkuu Mstaafu  Mhe. Edward Lowassa,  Bw. Aboubakary Liongo---- Ofisi ya mbunge na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana ilikanusha vikali uvumi uliozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa mbunge huyo wa Monduli amelazwa nchini Ujerumani.

Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa...

 

10 years ago

StarTV

Mganga Mkuu Lindi aagizwa kuunda kamati za Dawa.

Na Joseph Mpangala,

Lindi.

 

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza amemuagiza Mganga Mkuu wa Mkoa huo kuhakikisha anaunda kamati za Dawa kwa kila kituo cha afya kinachokuwa na wachangiaji wa mifuko wa bima ya Afya.

 

Hatua hiyo itapunguza lawama zinazokwenda kwa wafanyakazi wa vituo vya afya kuwa wanaondoka na dawa za wananchi na kuzifanyia biashara pamoja na kupata idadi sahihi ya kiasi cha vifaa vya matibabu vinavyoletwa vituoni   na matumizi yake.

 

Mwantumu Mahiza anasema ktika...

 

10 years ago

Vijimambo

MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA WILAYA YA KINONDONI MKUU WA WILAYA ATANGAZA AJIRA YA PAPO KWA PAPO

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiwa ameubeba mwenge wa Uhuru baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto), akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda baada ya kumaliza mbio zake wilayani humo Dar es Salaam leo asubuhi. Mwenge huo ulianza mbio zake Wilaya ya Ilala na kuzindua miradi mbalimbali. Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka 2015, Juma Khatibu Chum (kulia), akisalimia na Meya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani