Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri Mbalawa amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.
Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eD_6g0v7jYA/VLeG_tC6IkI/AAAAAAAG9ew/B3UKwefKtgE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Ziara ya naibu waziri maji mkoani Njombe
Mradi wa Njenga utagharimu kiasi cha sh. 3.5 bilioni na tayari umeshagharimu sh 2.2 bilioni na utakamilika mapema machi mwaka huu na kuongeza upataikanaji maji kutoka asilimia 43 hadi...
9 years ago
Mtanzania22 Sep
Waziri amchefua Magufuli
*Aomba Watanzania wamtetee kwa uamuzi atakaochukua
Na Bakari Kimwanga, Muleba
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameahidi kushughulika na mmoja wa mawaziri aliyegawa ranchi za mifugo kiholela.
Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana, alipohutubia mikutano ya kampeni iliyofanyika katika miji ya Muleba na Kamachumu mkoani Kagera.
Alisema hawezi kukubali kuona wananchi wanaendelea kuteseka wakati watu fulani wanamiliki ranchi hizo, huku...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
11 years ago
Habarileo01 Aug
Naibu Waziri ambana mkandarasi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Waziri amtimua mkandarasi Dar
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fABZXYRUZKg/Xk1f0cBxKzI/AAAAAAALeY4/1Y_cLsD8Rk8APECiQU0emHZL8o6Cq3KAACLcBGAsYHQ/s72-c/Thunderstorm.jpg)
Radi yaua mwanafunzi mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-fABZXYRUZKg/Xk1f0cBxKzI/AAAAAAALeY4/1Y_cLsD8Rk8APECiQU0emHZL8o6Cq3KAACLcBGAsYHQ/s400/Thunderstorm.jpg)
Wanafunzi 16 na mwalimu mmoja wa shule ya sekondari Chief Kidulile iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe wamepigwa radi februari 19 majira ya saa tisa alasiri na kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja na kuacha majeruhi 16.
Akifafanua kuhusu tukio hilo kwa njia ya simu, Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa akiwa mkoani Morogoro kikazi amesema amepokea taarifa za tukio hilo kutoka kwa vijana wake aliowatuma ambapo amesema katika tukio hilo mwanafunzi mmoja wa...
9 years ago
VijimamboMAGUFULI ATINGA MKOANI NJOMBE LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI