Waziri amtimua mkandarasi Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Mhagama amemtimua kazi mkandarasi anayejenga mfereji wa Buguruni kwa Mnyamani, Manispaa ya Ilala kwa kushindwa kuujenga kwa kiwango kinachotakiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV23 Dec
Naibu Waziri wa Nishati na Madini amuonya Mkandarasi anayejenga miundombinu ya Umeme Dar, Kilimanjaro, Arusha
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani amemtaka mkandarasi anayejenga miundombinu ya kusafirisha na kusambaza umeme katika mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Arusha kukamilisha miradi hiyo ifikapo Februari 20, 2016.
Naibu Waziri ametoa maagizo hayo baada ya kutembelea miradi hiyo iliyopo katika maeneo ya Mbagala, Kurasini na Gongo la Mboto jijini Dar es salaam na kugundua kuwa imeshindwa kukamilika kwa wakati uliokusudiwa.
Hali ya kutokamilika kwa miradi hiyo Imemsukuma...
11 years ago
Habarileo01 Aug
Naibu Waziri ambana mkandarasi
NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mbunge wa Jimbo la Buchosa Dk Chales Tizeba amemtaka Mkandarasi Pet Construction Limited kukamilisha haraka ujenzi wa mradi wa maji katika Jimbo la Buchosa.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Waziri ambana mkandarasi, aagiza asilipwe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Mkandarasi amchefua waziri Mbalawa mkoani Njombe
![](https://1.bp.blogspot.com/-cCUXdfhEw_c/XlU-6_TJYaI/AAAAAAALfWU/WTQSUL2lR-YPj9Tr1_ZLrfxPY55sWZ1ewCLcBGAsYHQ/s640/0.jpg)
Waziri wa maji Prof.Makame Mbalawa ameagiza kuwekwa kizuizini msimamizi wa ujenzi wa mradi wa maji wa Igando Kijombe unaotekelezwa na kampuni ya STC JV YELL LMT wilayani Wanging'ombe mkoani Njombe Erick Mlema kwa kushindwa kukamilisha mradi kwa wakati.
Waziri Mbalawa amesema mpaka sasa mradi umefikia asilimia 17 pekee huku wananchi wakilalamikia kero ya upatikanaji wa maji wilayani humo.
Mradi wa Igando- kijombe unatajwa kugharimu takribani billioni 12 na ulianza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s400/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-khdrmxpc_Vo/Xqp52dPfAEI/AAAAAAALonc/TFEPUabPp-kG9goIoTTxkcRZXQZQOa28ACLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI MGALU AMTAKA MKANDARASI KUMALIZA KAZI KWA WAKATI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
JUNI 30,2020,MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s72-c/001.jpg)
WAZIRI WA MAJI ATOA SIKU 90, KWA MKANDARASI ANAESAMBAZA BOMBA LA MAJI MRADI WA MLANDIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-rx2rCE2749A/VL9UYEL7LjI/AAAAAAAG-l8/aJYNqs2Rb_g/s1600/001.jpg)
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI AWESO AMWEKA NDANI MKANDARASI WA MAJI MKINGA KUSHINDWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI MBUTA
NAIBU Waziri wa Maji Juma Aweso ameliamuru Jeshi la Polisi wilayani Mkinga kumkatama Mhandisi wa Wakala wa Maji Vijiji (Ruwasa) wilaya ya Mkinga Castory Keneth kutokana na kushindwa kusimamia mradi wa maji wa Mbuta na kupelekea kushindwa kukamilika kwa wakati huku wananchi wakiendelea kutekeseka kupata huduma hiyo muhimu.
Mradi huo ulianza 2013 ambapo serikali ilitoa kiasi cha zaidi ya milioni 400 lakini utekelezaji wake ulishindwa kukamilika na kupeleke tatizo la maji kwenye eneo...