MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani( kushoto)akitoa maelekezo kwa msimamizi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Kilole,wilayani Korogwe mkoani Tanga, Mhandisi Peter Magari, wakati waziri wa Nishati alipofanya ziara ya kushtukiza kutembelea kituo hicho kilichojengwa 1929 ambacho kinafanyiwa ukarabati kubosha utendaji kazi wake.
Muonekano wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha Kilole wilayani Korogwe mkoani Tanga kilichojengwa mwaka 1929, chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2.5 za...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B5.jpg)
JUNI 30,2020,MKANDARASI ATAKAYESHINDWA KUKAMILISHA REA KUKATWA 10% YA MALIPO YAKE-WAZIRI KALEMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BFecCXJ987I/XrfNHsFyoPI/AAAAAAALpqE/6W333lEfwLkNGI8ZLYjZBkyjvl0_mDBywCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PICHA-6-1024x683.jpg)
5 years ago
MichuziWAKANDARASI WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MIRADI YA REA KWA WAKATI KUKATWA FEDHA
9 years ago
MichuziDkt. Kalemani awaagiza Wakandarasi wa Umeme Vijijini kukamilisha miradi Machi 30
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200619_103933_5.jpg)
MKANDARASI AAGIZWA KUPELEKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI MRADI KWA BODI YA REA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hKBDXIBXIg0/Xu8sP4WeCwI/AAAAAAALu0Q/ZEOLJJluSycZE6ZEAN_ubka3BbKvdaj6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200619_103933_5.jpg)
Na Woinde Shizza,ARUSHA
MKANDARASI anayetekeleza mradi wa Wakala wa...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Wizara kukatwa malipo pango la mawaziri
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI AWASHA UMEME MKALAMA Inbox x
5 years ago
MichuziCCM CHATO YASEMA WAZIRI KALEMANI AMEITENDEA HAKI ILANI
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Chato kimekiri kuridhishwa na utendaji kazi wa Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo hilo, Dkt Medard Kalemani.
Ameyasema hayo Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM, Wilaya ya Chato, Ramadhani Ndaki na kuongeza kuwa kwa utendaji kazi wake mahiri, Dkt Kalemani ameitendea haki Ilani ya Chama hicho ambacho ndicho kinaongoza nchi.
Kiongozi huyo wa Chama alikuwa akizungumza na waandishi wa habari muda mfupi baada ya Waziri Kalemani...
5 years ago
MichuziWAZIRI DKT KALEMANI ATAKA WANAOIBA UMEME WAKAMATWE NA KUWEKWA KOROKORONI
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika akikata utepe kuashiria kuwasha umeme kwenye Kijiji cha Kwasunga wilayani Korogwe wakati wa ziara yake katika wilaya za Lushoto,Handeni na Korogwe mkoani Tanga iliyokuwa inalenga kutembelea kwenye maeneo yanayofanyiwa kazi na wakandarasi kupitia mradi wa Rea awamu ya tatu unaoendelea ambao unatarajiwa kukamilika mwezi June mwaka huu kulia ni Meneja wa Tanesco wilaya ya Korogwe Mhandisi Peter Kanuti Magari
WAZIRI wa Nishati Dkt Medard Kalemani...
5 years ago
MichuziWAZIRI KALEMANI ATOA NENO UAGIZWAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani amesisitiza msimamo wa serikali kutoruhusu uagizwaji nje ya nchi, vifaa vya umeme hususan mashine umba (transfoma) na nyaya na kwamba atakayebainika kukaidi agizo hilo atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazohusiana na uhujumu uchumi.Alitoa msimamo huo jijini Dar es Salaam, Machi 12 mwaka huu, baada ya kutembelea kiwanda cha Europe Inc. Industries LTD (TROPICAL), kinachozalisha vifaa hivyo na kujiridhisha kuwa uwezo wake...