Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KANYASU AKERWA NA WAVAMIZI WA MAENEO YA HIFADHI


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akioneshwa eneo na Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Babati, Felix Mwasenga katika Ushoroba wa Kwakuchinja ambao ni muhimu kwa mapito ya wanyamapori wanaotoka katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kuelekea HIfadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara ukiwa umevamiwa na baadhi ya wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu katika wilaya ya Babati mkoani Manyara. Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Mhe, Elizabeth Kitundu

Naibu Waziri wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MH LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UBORESHAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI NA UENDESHAJI MAENEO YA JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAPORI TANZANIA ( WMA ), ARUSHA

8WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akizungumza na wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori nchini (WMA), ulioanza jana jijini Arusha kujadili uboreshaji mfumo wa usimamizi na uendeshaji jumuia hizo.67WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori nchini (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
1WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na...

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA YA UTALII NCHINI INAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA- NAIBU WAZIRI KANYASU

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akizungumza na wananchi wa  Kijiji cha Mahenge mara baada ya kufanya ziara ya kuwasikiliza na kujionea athari zilizosababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu walivyoharibu mazao katika mashamba ya Wananchi hao katika mkutano uliofanyika katika wilaya ya Kilolo mkoani Iringa  Naibu Waziri wa Malasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kilolo, Mwajuma Nasombe kabla ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akishuka kwenye gari alipowasili ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA).Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Arusha(ANAPA) Betrita Loibook akimuonesha Waziri Nyalandu mfano wa mtambo wa kufua umeme unaotazamiwa kuwekwa katika hifadhi hiyo.Mhifadhi Mkuu ,Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA) Betrita Loibook akitoa taarifa ya Hifadhi hiyo kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu.kwa picha zaidi bofya soma zaidiWaziri Nyalandu akizungumza...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI KUONDOKA KATIKA HIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana juu ya askari wastaafu wa Marekani wanaodai kuwa nchini kupambana na ujangili. (Picha na Loveness Bernard)

NA LOVENESS BERNARD, Mwanza
Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri Nyalandu alisema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikitumia...

 

5 years ago

Michuzi

WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(kulia) na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori(TAWA), Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi na Hifadhi za Taifa(TANAPA) jana mara baada ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo.Waziri wa Maliasili na Utalii...

 

10 years ago

Michuzi

Naibu waziri wa maliasili na utalii awataka vijana kujituma kufanya kazi

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mahmoud Mgimwa ambaye ni mbunge wa jimbo la mufindi kusini (katikati) akiwa katika moja ya ziara zake za Wizara ya Maliasili na utalii  Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mahmoud Mgimwa ambaye ni mbunge wa jimbo la mufindi kusini akiwa katika moja ya ziara zake za wizara ya maliasili na utalii na wengine ni viongozi wa TANAPANaibu waziri wa maliasili na utalii Mahmoud Mgimwa ambaye ni mbunge wa jimbo la mufindi kusini akiwa ziarani.
BOFYA HAPA KWA HABARI...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI VINAVYOZUNGUKA HIFADHI YA RUAHA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NA WAWEKEZAJI

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuhusu eneo la hifadhi  lililoombwa kwa ajili ya upanuzi wa manispaa ya Iringa wakati wa ziara ya waziri wa maliasili na utalii mkoani Iringa leo. (Picha zote na Loveness Bernard)Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu  akifafanua jambo katika mkutano wa kutatua mgogoro kati ya wawekezaji na wananchi wanaozunguka hifadhi ya Ruaha (mbomipa). Katikati...

 

11 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFUNGA WARSHA YA MASHIRIKIANO BAINA YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahamoud Mgimwa (wa pili toka kushoto) akiwa na Mkurugenzi Mkuu Hifadhi za Taifa,Allan Kijazi (mwanzo kushoto),wengine ni Kaimu Mkuu wa Idara ya Wanyamapori, Paul Sarakikya na mwisho kabisa kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Elias Tarimo wakati wa kufunga Warsha ya Mashirikiano baina ya Hifadhi za
Taifa,(TANAPA)  na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA,Pascal Shelutete akifanya utamburisho kwa washiriki wa Warsha hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani