Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATUMISHI WA MALIASILI WATAKIWA KUHAMISHIA OFISI KATIKA MAENEO YA HIFADHI ILI KULINDA MALIASILI


 Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangala(kushoto) akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri(kulia) na Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori(TAWA), Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi na Hifadhi za Taifa(TANAPA) jana mara baada ya ziara yake ya kikazi Mkoani humo.Waziri wa Maliasili na Utalii...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KANYASU AKERWA NA WAVAMIZI WA MAENEO YA HIFADHI


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akioneshwa eneo na Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Babati, Felix Mwasenga katika Ushoroba wa Kwakuchinja ambao ni muhimu kwa mapito ya wanyamapori wanaotoka katika Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kuelekea HIfadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara ukiwa umevamiwa na baadhi ya wananchi wanaoendesha shughuli za kibinadamu katika wilaya ya Babati mkoani Manyara. Katikati ni Mkuu wa wilaya ya Babati, Mhe, Elizabeth Kitundu

Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII,LAZARO NYALANDU ATEMBELEA OFISI ZA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA (TANAPA)

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akishuka kwenye gari alipowasili ofisi za Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA).Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Arusha(ANAPA) Betrita Loibook akimuonesha Waziri Nyalandu mfano wa mtambo wa kufua umeme unaotazamiwa kuwekwa katika hifadhi hiyo.Mhifadhi Mkuu ,Hifadhi ya Taifa ya Arusha(TANAPA) Betrita Loibook akitoa taarifa ya Hifadhi hiyo kwa Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu.kwa picha zaidi bofya soma zaidiWaziri Nyalandu akizungumza...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MH LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UBORESHAJI WA MFUMO WA USIMAMIZI NA UENDESHAJI MAENEO YA JUMUIYA YA HIFADHI YA WANYAPORI TANZANIA ( WMA ), ARUSHA

8WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akizungumza na wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori nchini (WMA), ulioanza jana jijini Arusha kujadili uboreshaji mfumo wa usimamizi na uendeshaji jumuia hizo.67WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifuatilia majadiliano wakati wa mkutano wa wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori nchini (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
1WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYARANDU AAGIZA ASKARI WA MAREKANI KUONDOKA KATIKA HIFADHI

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na waandishi wa habari mjini Mwanza jana juu ya askari wastaafu wa Marekani wanaodai kuwa nchini kupambana na ujangili. (Picha na Loveness Bernard)

NA LOVENESS BERNARD, Mwanza
Waziri wa Maliasili na Utali, Lazaro Nyalandu amekipiga marufuku kikundi cha wanajeshi wastaafu wa Marekani (Vetpaw) ambacho kinadai kupambana na majangili nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Waziri Nyalandu alisema kuwa kikundi hicho kimekuwa kikitumia...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AFANYA ZIARA KATIKA VIJIJI VINAVYOZUNGUKA HIFADHI YA RUAHA KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI NA WAWEKEZAJI

 Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuhusu eneo la hifadhi  lililoombwa kwa ajili ya upanuzi wa manispaa ya Iringa wakati wa ziara ya waziri wa maliasili na utalii mkoani Iringa leo. (Picha zote na Loveness Bernard)Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu  akifafanua jambo katika mkutano wa kutatua mgogoro kati ya wawekezaji na wananchi wanaozunguka hifadhi ya Ruaha (mbomipa). Katikati...

 

11 years ago

Mwananchi

Maliasili watimua watumishi 21

Wizara ya Maliasili na Utalii, imewasimamisha kazi watumishi wake 21 kwa tuhuma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kusaidia ujangili wa nyara za Serikali.

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya Ardhi,Maliasili na Mazingira watembelea hifadhi ya taifa ya Mkomazi.

 Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira Mh James Lembeli akiwa ameongozana na Naibu Waziri wa Maliasili na utalii Mhe. Mahamud Mgimwa wakisalimiana na wafanyakazi wa hifadhi ya Taifa ya Mkomazi.
 Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi, maliasili na mazingira wakitembelea eneo la mradi wa kufuga faru pamoja na Mbwa Mwitu. Naibu waziri wa maliasili na mazingira ,Mahamud Mgimwa akiwa amemshika mtoto wa Tembo katika hifadhi ya taifa ya Mkomazi,wengine ni mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kamati ya ardhi,maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Arusha

Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi,maliasili na mazingira,James Lembeli akiwa ameongozana na naibu waziri wa maliasili na utalii,Mahamud Mgimwa pamoja na kaimu mkurugenzi mkuu TANAPA,Martin Loibooki katika lango kuu la kuingia hifadhi ya taifa ya Arusha(ANAPA). kaimu mkurugenzi mkuu TANAPA,Martin Loibooki akizungumza jambo wakati kamati ya ardhi,maliasili na mazingira ilipotembelea na kuzungumza na watumishi wa hifadhi ya taifa ya Arusha. Wajumbe wa kamati ya ardhi,maliasili na mazingira,Mh...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani