Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wavamizi Stakishari mbaroni

WATU wawili wanaodaiwa kuhusika katika uvamizi na mauaji ya wiki iliyopita kwenye Kituo cha Polisi Stakishari jijini Dar es Salaam, wametiwa mbaroni.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, mbali na watu hao wanaoendelea kushikiliwa na polisi, watuhumiwa wengine watatu wa tukio hilo waliuawa. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kova alisema Ijumaa iliyopita, polisi walipata taarifa za kuaminika kwamba majambazi waliohusika Stakishari wapo...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI

Kituo cha Polisi Stakishari kilichovamiwa na majambazi. JESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limewakamata watu watano waliohusika na tukio la ujambazi katika Kituo cha Stakishari, kilichopo Ukonga jijini Dar pamoja na silaha kadhaa. Katika tukio hilo bunduki aina ya SMG 7, SAR 7 na risasi 28 za SMG vimekamatwa vyote vikiwa vya Kituo cha Stakishari. Mbali na vitu hivyo, sanduku lenye fedha kiasi cha shilingi milioni 170 pamoja na...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wavamizi ondokeni’

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amewataka wananchi walioingia kinyume cha sheria kwenye Hifadhi ya Taifa Tarangire na Pori la Akiba la Mkungunero, mkoani Manyara, na Dodoma kuondoka mara moja maeneo hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wavamizi waonywa

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Nassibu Mmbaya, ametoa onyo kwa wafugaji wanaovamia misitu wilayani hapa na kutaka waache mara moja tabia hiyo. Mmbaya alitoa onyo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wavamizi waondolewe — Laizer

MBUNGE wa Longido, Lekule Laizer ameitaka serikali kutoa tamko la kuwaondoa wakulima wote waliovamia maeneo ya wafugaji. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Laizer alisema  yapo maeneo ya wafugaji yaliyotengwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto

Serikali wilayani, Kiteto, imewataka wananchi waliovamia ardhi ya wilaya hiyo, kuondoka mara moja ili kupunguza migogoro kati ya wakulima na wafugaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Gari la pili la wavamizi lapatikana Paris

Polisi wa Ufaransa wamelipata gari la pili linalofikiriwa lilitumika katika mashambulio ya Ijumaa usiku mjini Paris.

 

11 years ago

Habarileo

Wavamizi waua wawili vyuo vikuu

MATUKIO matatu ya uvamizi katika makazi ya wanafunzi wa vyuo vikuu kati ya mwaka jana na mwaka juzi, yamesababisha vifo vya wanafunzi wawili nchini. Aidha, katika matukio hayo, mali mbalimbali kama vile simu, kompyuta mpakato na nguo, viliibwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Nyalandu aagiza wavamizi kuondoka

Serikali imesema haitaogopa wala kumvumilia mtu atakayevamia maeneo ya hifadhi na mapori ya akiba kwa lengo la kuhujumu maliasili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chamwino yatenga mil. 20/- kuondoa wavamizi

SERIKALI ya Wilaya ya Chamwino,  mkoani Dodoma imetenga sh milioni 20 kwa ajili ya kufyeka mazao shambani na kubomoa nyumba za watu wanaodaiwa kuvamia hifadhi za taifa. Akizungumza na waandishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani