Chamwino yatenga mil. 20/- kuondoa wavamizi
SERIKALI ya Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma imetenga sh milioni 20 kwa ajili ya kufyeka mazao shambani na kubomoa nyumba za watu wanaodaiwa kuvamia hifadhi za taifa. Akizungumza na waandishi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo15 Jul
Atakayetoa taarifa wavamizi kituo cha polisi kuzia mil. 50/-
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Magu-15July2015.jpg)
Wakati bado hakuna mtuhumiwa aliyekamatwa kufuatia tukio la kuvamiwa kwa Kituo cha Polisi cha Stakishari, jijini Dar es Salaam, imefahamika kuwa bunduki zilizoibwa ni 20, huku Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP ), Ernest Mangu (pichani), akitangaza bingo ya Sh. milioni 50 kwa mtu atayekatoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa majambazi waliofanya tukio hilo.
Watu wanaosadikiwa kuwa majambazi walikivamia kituo hicho usiku wa kuamkia Julai...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Masasi yatenga mil. 7/- za vifaa tiba
HALMASHAURI ya Wilaya ya Masasi imetenga sh milioni 9.07 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba vya kitengo cha mazoezi ya viungo katika Hospitali ya Wilaya ya Mkomaindo. Akijibu swali...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
SUMATRA yatenga mil. 50/- kuisaidia jamii
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), ndani ya mwaka huu imetenga sh milioni 50 kusaidia mahitaji mbalimbali ya kijamii. Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka hiyo, Ahmed...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Serikali yatenga mil. 500/- nyumba za walimu
SERIKALI imetenga sh milioni 500 kwa halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za walimu. Rais Jakaya Kikwete alitoa kauli hiyo juzi kwa wananchi wa Tanga wakati...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s72-c/1.jpg)
BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-64ouCua__gs/VYgfv-G8TOI/AAAAAAADtRU/uhn8QfRryqk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-x07E-8mYU1I/VYgfvlOQ8MI/AAAAAAADtRY/ySwFk3YU98E/s640/1A.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Wavamizi ondokeni’
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Wafugaji wavamizi waonywa
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Nassibu Mmbaya, ametoa onyo kwa wafugaji wanaovamia misitu wilayani hapa na kutaka waache mara moja tabia hiyo. Mmbaya alitoa onyo hilo...
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Wavamizi Stakishari mbaroni
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Wavamizi watakiwa kuondoka Kiteto