Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wavamizi waondolewe — Laizer

MBUNGE wa Longido, Lekule Laizer ameitaka serikali kutoa tamko la kuwaondoa wakulima wote waliovamia maeneo ya wafugaji. Akiuliza swali la nyongeza bungeni jana, Laizer alisema  yapo maeneo ya wafugaji yaliyotengwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi, mkewe waondolewe bungeni

Uzoefu wetu wa muda mrefu umetuonyesha pasipo shaka kwamba mambo mengi yanayotendeka Tanzania hayawezi kutendeka katika nchi nyingine.

 

5 years ago

Michuzi

Wakimbizi wahalifu Waondolewe -Masauni

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameviagiza Vyombo vya Ulinzi na Usalama mkoani Kigoma kuwaondosha na kuwafungulia mashtaka wakimbizi zaidi ya Elfu Moja waliotoroka kutoka katika Kambi mbalimbali za wakimbizi  na kwenda kufanya uhalifu nje ya makambi.

Naibu Waziri Masauni ameyasema hayo leo  wakati akiongea na wakimbizi kutoka nchini Burundi waliohifadhiwa katika Kambi ya Nduta iliyoko wilayani Kibondo, mkoani Kigoma huku ikihifadhi jumla ya wakimbizi na waomba...

 

11 years ago

Habarileo

Waliopunguzwa na kurejea TRL waondolewe — Tizeba

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba ameagiza wafanyakazi wote waliopunguzwa na kurejea kazini katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), kuondolewa mara moja.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi

Baadhi ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali nchini wametaka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaodai nyongeza ya posho, wajiorodheshe ili waweze kufahamika kwa majina na wanakotoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba

>Wasomi na wataalamu mbalimbali wameshauri kuangaliwa upya kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwabana wajumbe wanaotumia vikao vya Bunge Maalumu kujijenga kisiasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015, badala ya masilahi ya wananchi.

 

11 years ago

TheCitizen

Laizer pulls out of Glasgow meet

>Team Tanzania’s preparations for the 2014 Commonwealth Games suffered early setback yesterday when the country’s cycling sensation, Richard Laizer, pulled out of the multi-sport event.

 

11 years ago

TheCitizen

TOC sweating on Laizer’s visa

The Tanzania Olympic Committee (TOC) is racing against time to secure a visa for the country’s medal hopeful, Richard Laizer.

 

10 years ago

Habarileo

Laizer ajitokeza kupambana na Lema

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbles Lema.JOTO la ubunge kwenye jimbo la Arusha Mjini, limezidi kupanda mara baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Francis Laizer kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo, endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.

 

11 years ago

Habarileo

Mrithi wa Laizer KKKT kujulikana leo

HATIMA ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani