Mrithi wa Laizer KKKT kujulikana leo
HATIMA ya kinyang’anyiro cha kumpata mrithi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Dk Thomas Laizer aliyefariki mapema mwaka huu, inajulikana leo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Y4StZR2b4/U84CTOZOyeI/AAAAAAAABaI/_SFi62ZgdMg/s72-c/laizer-1.jpg)
Mrithi wa Askofu Laizer kujulikana leo
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, anatarajwa kupatikana leo katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Dayosisi hiyo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 300.
Wajumbe hao watakaokutana katika Shule ya Sekondari ya Peace House, Matevesi, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha, watamchagua kiongozi atakayechukua nafasi ya Dk. Thomas Laizer, aliyefariki dunia Februari 6, mwaka jana.
Kwa sasa, nafasi hiyo inakaimiwa na Mchungaji...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Mrithi wa Dk Slaa kujulikana mwezi ujao
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Hatima ya Rage kujulikana leo
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Hatima ya Mrema TLP kujulikana leo
Na Michael Sarungi, Asifiwe George,Dar es Salaam
HATIMA ya Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema kuendelea kuongoza chama hicho inatarajiwa kujulikana leo baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuingilia kati.
Hatua hiyo imekuja baada ya kundi la wanachama wa TLP kuandika barua ya malalamiko kutaka kufanyika kwa uchaguzi wa ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.
Malalamiko hayo yamemlazimu msajili kuingilia kati na kuziita pande mbili...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Katiba: Mwelekeo mpya kujulikana leo
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Rufaa ya kina Mramba kujulikana leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya rufaa iliyokatwa na waliokuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kupinga adhabu ya vifungo vya miaka mitatu jela inatolewa leo.
Jaji wa Mahakama Kuu, Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, anatarajiwa kusoma hukumu hiyo baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.
Mahakama hiyo pia itatoa hukumu ya rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya...
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mgombea urais wa ACT kujulikana leo
MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, inatarajiwa kujulikana leo baada ya Kamati Kuu ya chama hicho kupendekeza jina la mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho.
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Mwelekeo wa Bunge la Katiba kujulikana leo
10 years ago
StarTV30 Mar
Matokeo ya uchaguzi Nigeria kujulikana leo.
Mkuu wa Tume Huru ya Uchaguzi nchini Nigeria amesema anatumaini kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo ifikapo Jumatatu jioni.
Upigaji kura uliendelea katika siku ya pili ya uchgaguzi baada ya kutokea hitilafu katika kadi za kielektroniki na kuchelewesha usajili wa baadhi ya wapiga kura.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/410/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/29/150329093322_nigeria_elections_304x171_getty_nocredit.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi, INEC, Attahiru Jega. “Tumaini letu na ambalo tumekuwa tukilifanyia kazi kwa bidii ni kuweza...