Mwelekeo wa Bunge la Katiba kujulikana leo
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa mwelekeo wa Bunge la Katiba wakati itakapotoa uamuzi dhidi ya pingamizi la Serikali kuhusu maombi ya kusimamishwa kwa vikao vya chombo hicho maalumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Katiba: Mwelekeo mpya kujulikana leo
>Swali la nini kilichomo katika Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya litajibiwa leo wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakapokabidhi rasimu hiyo kwa Rais Jakaya Kikwete pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein.
10 years ago
Michuzi18 Sep
CHAMA CHA WANASHERIA TANZANIA CHAIOMBA MAHAKAMA KUU KUWARUHUSU KUFUNGUA MAOMBI YENYE MWELEKEO WA KUPINGA BUNGE LA KATIBA
Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimeiomba Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuwaruhusu kufungua maombi yenye mwelekeo wa kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba unavyoendelea mjini Dodoma.
Wakili wa TLS Mpale Mpoki alilieleza jopo la majaji watatu linalioongozwa na Mwenyekiti Jaji Augustine Mwarija akisaidiana na Aloysius Mujulizi na Fauz Twaib kuwa kuna mambo kadhaa yanayobishaniwa ambayo yanahitaji Mahakama hiyo kuingilia na kutolea...
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kimeiomba Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuwaruhusu kufungua maombi yenye mwelekeo wa kupinga mwenendo wa Bunge Maalum la Katiba unavyoendelea mjini Dodoma.
Wakili wa TLS Mpale Mpoki alilieleza jopo la majaji watatu linalioongozwa na Mwenyekiti Jaji Augustine Mwarija akisaidiana na Aloysius Mujulizi na Fauz Twaib kuwa kuna mambo kadhaa yanayobishaniwa ambayo yanahitaji Mahakama hiyo kuingilia na kutolea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s72-c/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
Bunge Maalum la Katiba laanza mijadala ya Rasimu ya Katiba rasmi leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-fP425F9bo_c/VA7UyKZf6mI/AAAAAAAGiNg/oAv0wVoku_c/s1600/Ukumbi-wa-Bunge-la-Katiba.jpg)
BUNGE Maalum la Katiba leo tarehe 9 Septemba, 2014 limeanza kazi yake ya kusoma na kujadili taarifa za Kamati mbalimbali zikiwemo Kamati namba Kumi na Mbili, Kamati namba Mbili, Kamati namba Moja, Kamati namba Nne, Kamati namba Nane, Kamati namba Tano, Kamati namba Tisa, Kamati namba Tatu, Kamati namba Sita pamoja na Kamati namba Kumi na Moja.
Baadhi ya mambo yaliyojadiliwa katika Bunge hilo ni pamoja suala la baadhi ya viongozi kumiliki akaunti zao za fedha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s72-c/unnamed%2B(81).jpg)
RASIMU KATIBA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI LEO KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-nZRQWHAPDEo/VCLScyLXQjI/AAAAAAAGlh8/5jqUeQ7rutA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4Ej0EIz0XRY/VCLSdKW1XpI/AAAAAAAGliE/3-IJgmE3Rw4/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hN6H87Qy01E/VCLSdWhKM_I/AAAAAAAGliA/Fam5CuSp1zw/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-R9tQ636gFL0/VCLSeIVZgJI/AAAAAAAGliI/CV8v0SJbaWM/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
11 years ago
Habarileo18 Feb
Bunge la Katiba kuanza leo
HISTORIA ya nchi imeandikwa leo kwa Bunge Maalumu la Katiba kuanza mkutano wake huku mchakato wa kupata Mwenyekiti wa Bunge hilo, ukiwa umetangazwa kutoa nafasi kwa wajumbe wenye sifa kuingia kwenye kinyang’anyiro.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-z3oGwX6oBOw/VABCUODZNEI/AAAAAAAGSNk/BdSzQAk83ME/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
KUTOKA BUNGE LA KATIBA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-z3oGwX6oBOw/VABCUODZNEI/AAAAAAAGSNk/BdSzQAk83ME/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MzKIXVHAuc8/VABCUej8CVI/AAAAAAAGSNQ/YhflW-hmn-I/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P8CUSXRVS_8/VABCUm425VI/AAAAAAAGSNA/AQy-DX1-eO0/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Sep
BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania