‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
Baadhi ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali nchini wametaka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaodai nyongeza ya posho, wajiorodheshe ili waweze kufahamika kwa majina na wanakotoka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Dk Makaidi, mkewe waondolewe bungeni
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mawakala BVR wagoma, wadai posho ya siku nne
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Posho juu bungeni
WAKATI Ikulu ikitangaza kuwa posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba haijaongezeka, Tanzania Daima imebaini kuwa imeongezeka kwa sh 140,000 kwa siku za Jumamosi na Jumapili tofauti na ilivyokuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-v4Pm5L_ygMw/XusS7kvLu1I/AAAAAAABMdI/KtOQELa4y5YHk5umyQOOmpDHlWlK3Lf3ACLcBGAsYHQ/s72-c/vichura.jpeg)
JPM APIGA SIMU, AAMURU ASKARI WA SUMA JKT WANAOPIGISHA VICHURACHURA WANANCHI STENDI MPYA YA DODOMA WAONDOLEWE MARA MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-v4Pm5L_ygMw/XusS7kvLu1I/AAAAAAABMdI/KtOQELa4y5YHk5umyQOOmpDHlWlK3Lf3ACLcBGAsYHQ/s400/vichura.jpeg)
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Chadema wachota posho bungeni
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA FREDY AZZAH, DODOMA
WAKATI viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiendelea kusisitiza kuwa hawatarudi kwenye Bunge Maalumu la Katiba, wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kulipwa posho baada ya kurejea bungeni. Wabunge hao ni John Shibuda na Letisia Nyerere.
Shibuda alifika bungeni juzi saa 5 asubuhi na kujiandikisha kwenye orodha ya wajumbe wa Bunge Maalumu, waliowasili tayari kuanza kujadili sura 15...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Wasioingia bungeni kukatwa posho
MBUNGE ambaye hatashiriki shughuli za Bunge Maalumu, hatapewa posho maalumu, isipokuwa ataambulia Sh 80,000 za posho ya kawaida.
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Posho kaa la moto bungeni
KINARA wa kudai nyongeza za posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa, jana aliwashambulia waandishi wa habari kwa kuandika habari zinazowagombanisha na wananchi. Alisema vyombo hivyo vinalitumia...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni
Na Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...