Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi

Baadhi ya wananchi kutoka mikoa mbalimbali nchini wametaka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaodai nyongeza ya posho, wajiorodheshe ili waweze kufahamika kwa majina na wanakotoka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dk Makaidi, mkewe waondolewe bungeni

Uzoefu wetu wa muda mrefu umetuonyesha pasipo shaka kwamba mambo mengi yanayotendeka Tanzania hayawezi kutendeka katika nchi nyingine.

 

10 years ago

Mwananchi

Mawakala BVR wagoma, wadai posho ya siku nne

Mawakala wanaoandikisha vitambulisho vya wapigakura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), katika Kituo cha Shule ya Msingi Umoja, wamegoma kuendelea na uandikishaji kwa madai ya kutolipwa posho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho juu bungeni

WAKATI Ikulu ikitangaza kuwa posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba haijaongezeka, Tanzania Daima imebaini kuwa imeongezeka kwa sh 140,000 kwa siku za Jumamosi na Jumapili tofauti na ilivyokuwa...

 

5 years ago

CCM Blog

JPM APIGA SIMU, AAMURU ASKARI WA SUMA JKT WANAOPIGISHA VICHURACHURA WANANCHI STENDI MPYA YA DODOMA WAONDOLEWE MARA MOJA

 “Suma JKT wanafanya kazi nzuri hawajaanzia stendi ya Dodoma, wapo pale Feri DSM, Mwanza hatujaona Watu wakipigishwa vichurachura, wanaofanya hivyo waondolewe mara moja, wabaki maaskari wanaowahudumia watu, sitaki watu wangu warushwe vichura kwenye nchi ya amani”-JPM Live kwa Simu
Wananchi wakiingia na wengine kutoka katika Stendi mpya ya Kisasa ya Dodoma

 

11 years ago

Mtanzania

Chadema wachota posho bungeni

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA FREDY AZZAH, DODOMA

WAKATI viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiendelea kusisitiza kuwa hawatarudi kwenye Bunge Maalumu la Katiba, wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kulipwa posho baada ya kurejea bungeni.  Wabunge hao ni John Shibuda na Letisia Nyerere.

Shibuda alifika bungeni juzi saa 5 asubuhi na kujiandikisha kwenye orodha ya wajumbe wa Bunge Maalumu, waliowasili tayari kuanza kujadili sura 15...

 

11 years ago

Habarileo

Wasioingia bungeni kukatwa posho

 Katibu wa Bunge, Dk Thomas KashililahMBUNGE ambaye hatashiriki shughuli za Bunge Maalumu, hatapewa posho maalumu, isipokuwa ataambulia Sh 80,000 za posho ya kawaida.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Posho kaa la moto bungeni

KINARA wa kudai nyongeza za posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa, jana aliwashambulia waandishi wa habari kwa kuandika habari zinazowagombanisha na wananchi.  Alisema vyombo hivyo vinalitumia...

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu

Mbunge wa Arusha mjini (Chadema) Godbless Lema amesema atamtoa kwa mabavu bungeni Waziri wa nishati na madini,Profesa Sospetre Muhongo katika kikao kijacho cha Bunge endapo atakuwa hajaondolewa kwenye nafasi hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni

afandeSeleNa Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani