Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni
Na Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Jul
Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni
10 years ago
Mwananchi27 Jul
Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika hawa hapa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeAxtPSh-axbmc1fqJvtD-NLuEyd1XImUfABKpoawOyDF9H6V48Rdd7wDLebyAy8FgqHr2v42nlCEpHnDJzJrwZ8/afande.jpg?width=650)
MASKINI AFANDE SELE
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Ukata wamkwamisha Afande Sele
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIkN92QmhYmeVtld3ADmCK0WMZjDCG9ouV5pBWoXf5eVprwZXG0B3gAgJiWgX1eaFS3rQngHlIaXJHEN9jMQnj0i/AFANDE.jpg)
AFANDE SELE AZIMIA AKIMZIKA MKEWE!
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Afande Sele amnadi mgombea udiwani
MWANAMUZIKI wa muziki wa kizazi kipya, Seleman Msindi ‘Afande Sele’, juzi alimnadi mgombea udiwani wa Kata ya Tungi, Juma Tembo (CHADEMA), kwa falsafa yake mbele ya Mwenyekiti wa chama hicho,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
MKE WA AFANDE SELE AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi04 Mar
introducing 'MWENDO WA KASI' BY AFANDE SELE
10 years ago
GPLMKE WA AFANDE SELE AZIKWA MOROGORO