Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni
Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia mjengoni. Rapper atawania kiti cha ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi cha ya chama cha ACT na ameiambia Bongo5 kuwa akiingia bungeni wasanii watarajie mambo makubwa kutoka kwake. “Lengo langu kubwa kwa wasanii ni kupigania haki za […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-tWYzYwqEj-8/U_Dj6UUOI-I/AAAAAAACnjs/B4VFQGZbJw8/s1600/IMG-20140817-WA0024.jpg)
WASANII WA KILIMANJARO MUSIC WAMFARIJI AFANDE SELE
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni
Na Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Afande Sele awasihi wasanii kuwa na moyo wa kusaidiana
![](http://2.bp.blogspot.com/-3Dd2xTKMBHY/VB64CVvJVeI/AAAAAAACrUs/K9a-pgpi8JQ/s1600/1.jpg)
Baadhi ya Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza jioni ya leo kwenye tamasha la Fiesta 2014 lenye kauli mbiu (sambaza upendo) wakiwasili mapema leo mchana nyumbani kwa Mama Mkwe wa Afande Sele,mtaa wa Amani mjini Morogoro kwa madhumuni ya kutoa pole kwa Afande Sele pamoja na Familia ya marehemu ya aliyekuwa Mzazi mwenzake Afande Sele,Marehemu Asha aliyetambulika zaidi kwa jina la Mama Tunda,ambaye leo anatimiza siku Arobaini tangu afariki na kuzikwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pm-4pKjmoD8/VB64GRimMhI/AAAAAAACrVg/fh8A39hukbc/s1600/2.jpg)
Baadhi ya Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s72-c/14.jpg)
WASANII BONGO FLAVA WAMFARIJI AFANDE SELE KWENYE AROBAINI YA MAMA TUNDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aA19mco1E9k/VB8BQzMve4I/AAAAAAAAL4I/2hEINLTgwA8/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dm-j0Y4avNo/VB8BWYSLk_I/AAAAAAAAL4Q/MbvIJvDWGLg/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xuTYHFroXMk/VB8BY3URcaI/AAAAAAAAL4Y/mWmXz9Givl8/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JVdoxTVqKMU/VB8BaM6vU8I/AAAAAAAAL4g/LMXEHU-wlS0/s1600/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s72-c/8.jpg)
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-40BW-P8pNBM/VB64KqumI-I/AAAAAAACrWc/2cpmvYbQeYc/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1KSLZSWICbI/VB64EKkXZGI/AAAAAAACrVA/s2_JJoapqNk/s1600/13.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tWYzYwqEj-8/U_Dj6UUOI-I/AAAAAAACnjs/B4VFQGZbJw8/s72-c/IMG-20140817-WA0024.jpg)
Wasanii walioshiriki tamasha la KIlimanjaro Music Tour 2014 mjini Dodoma wamfariji Msanii mwenzao Afande Sele kwa kufiwa na Mkewe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-tWYzYwqEj-8/U_Dj6UUOI-I/AAAAAAACnjs/B4VFQGZbJw8/s1600/IMG-20140817-WA0024.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4iCgZ_ixAsw/U_Dj6VbJChI/AAAAAAACnjw/NLcPxEFzKI4/s1600/IMG-20140817-WA0025.jpg)
9 years ago
Bongo514 Nov
Lollipop aeleza kwanini haimbi muziki wa Bongo fleva licha ya kuwaandikia hits wasanii wengine
![lollipop2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/lollipop2-300x194.jpg)
Mwandishi wa nyimbo pamoja na mtayarishaji wa muziki Lollipop ametoa sababu za kwanini yeye anaimba muziki wa gospel na si Bongo Fleva, licha ya kuwa ameshawaandikia hits wasanii wengine wanaofanya Bongo fleva.
Lollipop ndiye mwandishi wa ‘Siachani Nawe’ na ‘Nivumilie’ za Barakah Da Prince, pamoja na ‘Basi Nenda’ na nyingine za Mo Music.
“Muziki wa gospel kwangu mimi ni maisha kamili, lakini production pamoja na ishu za uandishi nimefanyika kuwa sehemu ya kazi yangu,” alisema Lollipop...
9 years ago
Bongo504 Sep
Nahreel aeleza kwanini hajachukua wasanii tofauti na washikaji zake wale wale kufundisha kwenye chuo chake, ‘TIMS’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeAxtPSh-axbmc1fqJvtD-NLuEyd1XImUfABKpoawOyDF9H6V48Rdd7wDLebyAy8FgqHr2v42nlCEpHnDJzJrwZ8/afande.jpg?width=650)
MASKINI AFANDE SELE