Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika hawa hapa
>Wakati Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari akiupunguza mshahara wake muda mfupi baada ya kuingia madarakani mwaka huu, marais wengine wa Afrika wameonekana kujilimbikizia mishahara mikubwa, tofauti na pato ‘kiduchu’ la wananchi wao kwa mwaka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni
Na Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Marais wastaafu Afrika kuongoza waangalizi Uchaguzi Mkuu
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:
Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w
Mwandishi Wetu
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?
MPENZI msomaji wa gazeti lako ulipendalo la Raia Mwema kwa heshima na taadhima kubwa niliyopewa
Mwandishi Wetu
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3
KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.
Mwandishi Wetu
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa- 2
LEO ndugu wasomaji nawaletea makala inayomhusu Rais wa 20 wa Marekani, aliyekaa madarakani kwa si
Mwandishi Wetu
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...