Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika hawa hapa

>Wakati Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari akiupunguza mshahara wake muda mfupi baada ya kuingia madarakani mwaka huu, marais wengine wa  Afrika wameonekana kujilimbikizia mishahara mikubwa, tofauti na pato  ‘kiduchu’ la wananchi wao kwa mwaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni

afandeSeleNa Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...

 

9 years ago

Mwananchi

Marais wastaafu Afrika kuongoza waangalizi Uchaguzi Mkuu

Marais wastaafu; Goodluck Jonathan wa Nigeria na Armando Guebuza wa Msumbuji wataongoza jopo la waangalizi wa kimataifa wanaotarajiwa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:

Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?

MPENZI msomaji wa gazeti lako ulipendalo la Raia Mwema kwa heshima na taadhima kubwa niliyopewa

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3

KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa- 2

LEO ndugu wasomaji nawaletea makala inayomhusu Rais wa 20 wa Marekani, aliyekaa madarakani kwa si

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani