Chadema wachota posho bungeni
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA FREDY AZZAH, DODOMA
WAKATI viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiendelea kusisitiza kuwa hawatarudi kwenye Bunge Maalumu la Katiba, wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameanza kulipwa posho baada ya kurejea bungeni. Wabunge hao ni John Shibuda na Letisia Nyerere.
Shibuda alifika bungeni juzi saa 5 asubuhi na kujiandikisha kwenye orodha ya wajumbe wa Bunge Maalumu, waliowasili tayari kuanza kujadili sura 15...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s72-c/spika1.jpg)
SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s400/spika1.jpg)
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Posho juu bungeni
WAKATI Ikulu ikitangaza kuwa posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba haijaongezeka, Tanzania Daima imebaini kuwa imeongezeka kwa sh 140,000 kwa siku za Jumamosi na Jumapili tofauti na ilivyokuwa...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Wasioingia bungeni kukatwa posho
MBUNGE ambaye hatashiriki shughuli za Bunge Maalumu, hatapewa posho maalumu, isipokuwa ataambulia Sh 80,000 za posho ya kawaida.
11 years ago
Tanzania Daima27 Feb
Posho kaa la moto bungeni
KINARA wa kudai nyongeza za posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Richard Ndassa, jana aliwashambulia waandishi wa habari kwa kuandika habari zinazowagombanisha na wananchi. Alisema vyombo hivyo vinalitumia...
11 years ago
Mwananchi27 Feb
‘Wadai posho watajwe, waondolewe bungeni’ -Wananchi
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Afande Sele: Nitakataa posho na mishahara minono bungeni
Na Festo Polea
MWANA hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.
Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.
“Kazi yangu ya muziki siwezi kuiacha, ndiyo itakayoniongoza katika maisha yangu, kwa kuwa nitakapokuwa bungeni...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-LDqgsAay9Lc/Vn8HrFOuYUI/AAAAAAAAXhQ/dvfITfWhDew/s72-c/blogger-image--1712346059.jpg)
DIWANI WA CHADEMA AKATAA KUPOKEA POSHO ZA VIKAO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-G9Ki11HfijM/VS3sp6VpIiI/AAAAAAAASVs/X1P32EQysYg/s72-c/Shida%2Bya%2Bmaji.jpg)
WACHOTA MAJI "TAKA" KWA MATUMIZI YA NYUMBANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-G9Ki11HfijM/VS3sp6VpIiI/AAAAAAAASVs/X1P32EQysYg/s640/Shida%2Bya%2Bmaji.jpg)