Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni
Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima amesema kuna baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba walioko nje, wamekuwa wakijipitisha “pembezoni mwa ukuta wa Bunge na wengine kupiga mluzi kutaka marafiki zao wawaandike majina†ili wapate posho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru NewspaperBunge ladhibiti posho kwa wajumbe watoro
NA WAANDISHI WETU BUNGE Maalum la Katiba limeweka udhibiti mkali kwa wajumbe wenye tabia ya kusaini posho bila kuhudhuria vikao.Wabunge wa bunge maalum la katiba wakiendelea na vikaoLimesema kuwa lilishitukia mbinu hizo mapema kabla ya kuanza kwa vikao huku baadhi ya wajumbe wa kundi la Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuwa ndio wamekuwa na mchezo huo.Kutokana na hali hiyo, mfumo wa malipo kwa wajumbe kwa sasa umebadilika...
10 years ago
Habarileo12 Jun
Spika atishia kukata posho kwa watoro
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho ametishia kukata posho za wajumbe wa baraza hilo ambao watashindwa kuheshimu na kudhibiti nidhamu ya mahudhurio ya vikao hivyo vinavyoendelea.
11 years ago
Habarileo27 Apr
Malima anyamazisha wajumbe wa Ukawa
UTANGULIZI wa Mwalimu Julius Nyerere alioutoa katika kitabu cha Simulizi ya Thabit Kombo, kilichoandikwa na Minaeli Mdundo, umetumiwa na Mjumbe Adam Malima katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwanyamazisha wajumbe waliowatukana waasisi wa Taifa.
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Watoro bungeni wadhibitiwe, asema Semakafu
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Wamshauri JK kusitisha posho za wajumbe
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Posho za wajumbe kupoza waathirika wa mafuriko
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Kisumo akerwa wajumbe ‘kulilia’ posho kubwa
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Aibu wajumbe Bunge la Katiba kulalamikia posho
MIJADALA ya siku mbili tu tangu Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza kikao chake mjini Dodoma, inatia shaka kama kweli wawakilishi hao walioteuliwa na rais watatimiza lengo ambalo Watanzania wanalitarajia la...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Posho juu bungeni
WAKATI Ikulu ikitangaza kuwa posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba haijaongezeka, Tanzania Daima imebaini kuwa imeongezeka kwa sh 140,000 kwa siku za Jumamosi na Jumapili tofauti na ilivyokuwa...