Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malima anyamazisha wajumbe wa Ukawa

UTANGULIZI wa Mwalimu Julius Nyerere alioutoa katika kitabu cha Simulizi ya Thabit Kombo, kilichoandikwa na Minaeli Mdundo, umetumiwa na Mjumbe Adam Malima katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwanyamazisha wajumbe waliowatukana waasisi wa Taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Malima akata makali posho za wajumbe watoro bungeni

Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima amesema kuna baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba walioko nje, wamekuwa wakijipitisha “pembezoni mwa ukuta wa Bunge na wengine kupiga mluzi kutaka marafiki zao wawaandike majina” ili wapate posho.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Lipumba: Moyo wa Ukawa ni Wajumbe 14

Dar es Salaam. Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo. Profesa Lipumba alikuwa kwenye mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kuhusu mustakabali wa mchakato wa Katiba baada ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia kuhudhuria...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa yadai ALAT iliwarubuni wajumbe

>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema, semina iliyotolewa na Jumuiya ya Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), kwa wajumbe wa Bunge Maalum, ililenga kuwarubuni wajumbe  ili wakubali muundo wa Serikali mbili .

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Moyo wetu Ukawa ni wajumbe 14

>Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo.

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

TheCitizen

Bridge to be very helpful, says Malima

The Tanzania-Rwanda border will start operating 24 hours a day after the completion of the joint customs building at Rusumo post in Ngara District.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malima awaonya wafanyabiashara

NAIBU Waziri wa Fedha, Adam Malima, amewaonya wafanyabiashara nchini wanaoasisi migomo ya matumizi ya mashine za elektroniki (EFD) za Mamlaka ya Mapato Tanzania na kusema serikali haitawavumilia watu wa namna...

 

11 years ago

IPPmedia

Deputy Minister for Finance, Adam Malima


IPPmedia
Deputy Minister for Finance, Adam Malima
IPPmedia
Tanzania has ratified the Protocol on the establishment of the East African Monetary Union (EAMU) to harmonise payments and settlement systems and facilitate smooth business transactions among the partner states. The monetary union, which is the third ...
Germany to Give East African Community US $19 Million for Media TrainingAllAfrica.com
EAC REGIONAL CROSS-BORDER COMMUNITY SENSITIZATION ...StarAfrica.com

all 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani