Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa yadai ALAT iliwarubuni wajumbe

>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema, semina iliyotolewa na Jumuiya ya Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), kwa wajumbe wa Bunge Maalum, ililenga kuwarubuni wajumbe  ili wakubali muundo wa Serikali mbili .

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi

>Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

11 years ago

Habarileo

Malima anyamazisha wajumbe wa Ukawa

UTANGULIZI wa Mwalimu Julius Nyerere alioutoa katika kitabu cha Simulizi ya Thabit Kombo, kilichoandikwa na Minaeli Mdundo, umetumiwa na Mjumbe Adam Malima katika Bunge Maalumu la Katiba, kuwanyamazisha wajumbe waliowatukana waasisi wa Taifa.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Lipumba: Moyo wa Ukawa ni Wajumbe 14

Dar es Salaam. Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo. Profesa Lipumba alikuwa kwenye mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kuhusu mustakabali wa mchakato wa Katiba baada ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia kuhudhuria...

 

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Moyo wetu Ukawa ni wajumbe 14

>Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo.

 

11 years ago

Dewji Blog

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yadai US inachochea mapinduzi

Serikali ya Marekani imekanusha madai ya serikali ya Kenya kuwa inafadhili makundi ya wanaharakati kuchochea mapinduzi nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Dawasco yadai wateja bil. 40/-

 MAMLAKA ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasco) imesema inadai zaidi ya Sh bilioni 40 kutoka kwa wateja sugu, waliolimbikiza madeni yao ya maji ya kila mwezi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Israel yadai kubaguliwa na Palestina

Israel imesitisha uhusiano wa kidiplomasia na wawakiishi kutoka umoja wa ulaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani