Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi

>Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ukawa yadai ALAT iliwarubuni wajumbe

>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umesema, semina iliyotolewa na Jumuiya ya Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), kwa wajumbe wa Bunge Maalum, ililenga kuwarubuni wajumbe  ili wakubali muundo wa Serikali mbili .

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko

Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.

 

10 years ago

Mwananchi

Kafulila: Mambo manne yalinitia nguvu

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ametaja mambo manne yaliyompa ujasiri wa kulikomalia suala la ukwapuaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow hadi kufikia hatua aliyosema imempa faraja katika maisha yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo haya manne, shemeji atatuachaje?

Neno ‘shemeji’ lilitawala zaidi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Mwanza baada ya walimu kubeba bango lenye maandishi yanayosomeka “Shemeji unatuachaje?”. Maandishi hayo yalimlenga Rais Jakaya Kikwete.

 

9 years ago

Mwananchi

Wataja mambo manne kuongeza kodi

Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikivunja rekodi kwa kukusanya kiasi kikubwa cha mapato mwezi huu ikilinganishwa na mingine iliyopita, wachumi nchini wametaja mambo manne yanayotakiwa kufanywa na Serikali ili kukusanya mapato mengi zaidi.

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete na mambo manne hukumu ya Escrow kesho

Kesho ni siku ya 23 kamili tangu Bunge litoe maazimio manane juu ya uwajibikaji wa wahusika wote katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, ambayo Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa maamuzi yake, lakini akikabiliwa na mambo makuu manne.

Katika hukumu ambayo Rais Kikwete ataitoa kesho, suala la maazimio ya Bunge kuhusu kuwawajibisha viongozi waandamizi wa serikali ambao aliwateua, linatarajiwa kupata ufumbuzi.

Hawa ni pamoja na mawaziri, Profesa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limebaini mambo manne magumu ambayo yameonekana kuzua mivutano isiyo na mwafaka katika vikao vya kamati zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ifanya mambo manne, kuinua michezo

Kwa takribani siku 28 nilikuwa miongoni mwa watu waliopata bahati yakushuhudia vijana wadogo wa Kitanzania wakionyesha vipaji walivyojaliwa na Mwenyezi Mungu katika mashindano ya shule ya Umisseta na Umitashuta.

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara

January

Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:

MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO

Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani