Kafulila: Mambo manne yalinitia nguvu
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ametaja mambo manne yaliyompa ujasiri wa kulikomalia suala la ukwapuaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow hadi kufikia hatua aliyosema imempa faraja katika maisha yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wataja mambo manne kuongeza kodi
Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikivunja rekodi kwa kukusanya kiasi kikubwa cha mapato mwezi huu ikilinganishwa na mingine iliyopita, wachumi nchini wametaja mambo manne yanayotakiwa kufanywa na Serikali ili kukusanya mapato mengi zaidi.
10 years ago
Mwananchi09 May
Mambo haya manne, shemeji atatuachaje?
Neno ‘shemeji’ lilitawala zaidi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Mwanza baada ya walimu kubeba bango lenye maandishi yanayosomeka “Shemeji unatuachaje?â€. Maandishi hayo yalimlenga Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
Kikwete na mambo manne hukumu ya Escrow kesho
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JKdodoma(4).jpg)
Katika hukumu ambayo Rais Kikwete ataitoa kesho, suala la maazimio ya Bunge kuhusu kuwawajibisha viongozi waandamizi wa serikali ambao aliwateua, linatarajiwa kupata ufumbuzi.
Hawa ni pamoja na mawaziri, Profesa...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi
>Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Serikali ifanya mambo manne, kuinua michezo
Kwa takribani siku 28 nilikuwa miongoni mwa watu waliopata bahati yakushuhudia vijana wadogo wa Kitanzania wakionyesha vipaji walivyojaliwa na Mwenyezi Mungu katika mashindano ya shule ya Umisseta na Umitashuta.
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
Bunge Maalumu la Katiba limebaini mambo manne magumu ambayo yameonekana kuzua mivutano isiyo na mwafaka katika vikao vya kamati zake.
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Mambo muhimu kutatua tatizo la nguvu za kiume
Baada ya kuona makala zilizoeleza sababu mbalimbali zinazosababisha matatizo ya nguvu za kiume, sasa tuwe pamoja kwa nguvu zote katika kipengele muhimu kinachohusu suluhisho la matatizo ya nguvu za kiume.
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mambo matatu yanayoipa CCM nguvu dhidi ya UKAWA
Wakati Taifa likielekea katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu, ushindani wa wazi wa kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na vyama vya upinzani kupitia Ukawa unaonekana bayana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania