Kikwete na mambo manne hukumu ya Escrow kesho
Kesho ni siku ya 23 kamili tangu Bunge litoe maazimio manane juu ya uwajibikaji wa wahusika wote katika kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow, ambayo Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa maamuzi yake, lakini akikabiliwa na mambo makuu manne.
Katika hukumu ambayo Rais Kikwete ataitoa kesho, suala la maazimio ya Bunge kuhusu kuwawajibisha viongozi waandamizi wa serikali ambao aliwateua, linatarajiwa kupata ufumbuzi.
Hawa ni pamoja na mawaziri, Profesa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wataja mambo manne kuongeza kodi
10 years ago
Mwananchi09 May
Mambo haya manne, shemeji atatuachaje?
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kafulila: Mambo manne yalinitia nguvu
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Serikali ifanya mambo manne, kuinua michezo
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Zitto ahusisha hukumu yake na escrow
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Hukumu mvutano mazishi ya mawazo kesho