Wataja mambo manne kuongeza kodi
Wakati Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ikivunja rekodi kwa kukusanya kiasi kikubwa cha mapato mwezi huu ikilinganishwa na mingine iliyopita, wachumi nchini wametaja mambo manne yanayotakiwa kufanywa na Serikali ili kukusanya mapato mengi zaidi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kafulila: Mambo manne yalinitia nguvu
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ametaja mambo manne yaliyompa ujasiri wa kulikomalia suala la ukwapuaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow hadi kufikia hatua aliyosema imempa faraja katika maisha yake.
10 years ago
Mwananchi09 May
Mambo haya manne, shemeji atatuachaje?
Neno ‘shemeji’ lilitawala zaidi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Mwanza baada ya walimu kubeba bango lenye maandishi yanayosomeka “Shemeji unatuachaje?â€. Maandishi hayo yalimlenga Rais Jakaya Kikwete.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
Kikwete na mambo manne hukumu ya Escrow kesho
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JKdodoma(4).jpg)
Katika hukumu ambayo Rais Kikwete ataitoa kesho, suala la maazimio ya Bunge kuhusu kuwawajibisha viongozi waandamizi wa serikali ambao aliwateua, linatarajiwa kupata ufumbuzi.
Hawa ni pamoja na mawaziri, Profesa...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mambo manne magumu Bunge Maalumu la Katiba
Bunge Maalumu la Katiba limebaini mambo manne magumu ambayo yameonekana kuzua mivutano isiyo na mwafaka katika vikao vya kamati zake.
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Ukawa yadai mambo manne kabla ya Uchaguzi
>Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Serikali ifanya mambo manne, kuinua michezo
Kwa takribani siku 28 nilikuwa miongoni mwa watu waliopata bahati yakushuhudia vijana wadogo wa Kitanzania wakionyesha vipaji walivyojaliwa na Mwenyezi Mungu katika mashindano ya shule ya Umisseta na Umitashuta.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Mambo ya kufahamu ili kuepuka athari na kuongeza ufanisi wa Wafanyakazi wa nyumbani
Kutokana na hali ya maisha kubadilika na kufanya wazazi wote wawili yaani baba na mama kulazimika kufanya kazi au kwenda kazini, jukumu la malezi ya watoto majumbani limebakia kwa kiasi kikubwa mikononi mwa wafanyakazi wa ndani “house girlsâ€.
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI NA KUWATAKA KUBUNI MIRADI MBALIMBALI YA KUONGEZA MAPATO NDANI YA JESHI HILO.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania