Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lipumba: Moyo wetu Ukawa ni wajumbe 14

>Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

Lipumba: Moyo wa Ukawa ni Wajumbe 14

Dar es Salaam. Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo. Profesa Lipumba alikuwa kwenye mahojiano maalumu na Mwananchi nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam kuhusu mustakabali wa mchakato wa Katiba baada ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia kuhudhuria...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wamedhihirisha udhaifu wetu Watanzania

Nakiita kioja. Kioja hicho kilitokea siku tatu tu baada ya kuanza kwa Bunge maalumu la Katiba. Eti wajumbe wake walikataa posho ya Sh300,000, huku wakitaka waongezewe hadi Sh500,000 kama ilivyokuwa kwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

UKAWA kitanzini na mwandishi wetu


VIONGOZI na wanasiasa wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kutumia busara na kuyafanyiakazi maagizo ya viongozi wa dini ya kuwataka kurejea bungeni.
Pia wametakiwa wajitafakari wenyewe na kwamba hawastahili kubembelezwa wala kulazimishwa kuhusiana na kurejea bungeni kwani, wananchi ndio waliowatuma kufanyakazi hiyo na si vinginevyo.
Kauli hizo zilitolewa jana na wasomi na wanasiasa walipozungumza na gazeti hili kuhusu kauli iliyotolewa juzi na Makamu wa Rais wa Baraza la...

 

10 years ago

Daily News

UKAWA not shaken by Lipumba exit


UKAWA not shaken by Lipumba exit
Daily News
CIVIC United Front (CUF) has assured its members that the coalition for the main opposition parties (UKAWA) remains strong and will not wither despite the resignation of Prof Ibrahim Lipumba as the party's National Chairman. CUF Secretary General ...

 

10 years ago

Mtanzania

Profesa Lipumba: Nitaibeba Ukawa

lipumbaNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anatosha kugombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) iwapo atapewa nafasi hiyo na vyama washirika.
Amesema anawania nafasi hiyo huku kujiona ni mgombea pekee anayeweza kuwaunganisha Watanzania na kwamba ndiye aliasisi jina la Ukawa wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

10 years ago

Daily News

Lipumba absent as Ukawa leaders meet


Lipumba absent as Ukawa leaders meet
Daily News
NATIONAL Civic United Front (CUF) Chairman Professor Ibrahim Lipumba was absent as the Coalition of Defenders of the People's Constitution, Ukawa, leaders met throughout the day to decide on their candidate for the Union presidential race.

 

10 years ago

TheCitizen

Lipumba says Ukawa failed itself in civic polls

Ukawa co-chairman, Prof Ibrahim Lipumba, has said failure to capitalise on the agreement to field common candidates was a major factor that made the ruling party, CCM, secure victory in last Sunday’s civic polls.

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Lipumba ajitosa urais Ukawa

Tabora. Mbio za urais zimezidi kupamba moto kwa upande wa upinzani baada ya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza nia ya kugombea nafasi hiyo ya juu kisiasa nchini, akisema ana sifa zote lakini hatakuwa na kinyongo iwapo hatapitishwa na umoja wa vyama vya upinzani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani