UKAWA kitanzini na mwandishi wetu
VIONGOZI na wanasiasa wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kutumia busara na kuyafanyiakazi maagizo ya viongozi wa dini ya kuwataka kurejea bungeni.
Pia wametakiwa wajitafakari wenyewe na kwamba hawastahili kubembelezwa wala kulazimishwa kuhusiana na kurejea bungeni kwani, wananchi ndio waliowatuma kufanyakazi hiyo na si vinginevyo.
Kauli hizo zilitolewa jana na wasomi na wanasiasa walipozungumza na gazeti hili kuhusu kauli iliyotolewa juzi na Makamu wa Rais wa Baraza la...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
VIONJO VYA WIKI: Vijana wetu tumewatia kitanzini, tuwatoe
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Lipumba: Moyo wetu Ukawa ni wajumbe 14
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
MichuziMBOWE:TUTAAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RWJJdLvK7wc/VN888viAcZI/AAAAAAAAOJw/0WVUlD1q2uk/s1600/Picture%2B003.jpg)
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama...
10 years ago
VijimamboMBOWE:TUTAHAKIKISHA KILA MWANANCHI AMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA MPIGA KURA LAKINI KWA UPANDE WA KATIBA MSIMAMO WETU KAMA UKAWA UKO PALE PALE WA KUTOSHIRIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RWJJdLvK7wc/VN888viAcZI/AAAAAAAAOJw/0WVUlD1q2uk/s640/Picture%2B003.jpg)
MWENYEKITI wa chama cha demokrasi na maendeleo Chadema Freeman Mbowe amesema kuwa chama chao kimejipanga...
10 years ago
Mtanzania10 Apr
Gwajima kitanzini
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kupeleka nyaraka 10 za mali anazomiliki.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwanasheria wa Askofu Gwajima, John Mallya, alisema anatakiwa kuzipeleka nyaraka hizo kituoni hapo Aprili 16 mwaka huu.
Mallya alisema hatua hiyo imefikiwa baada ya mteja wake kuhojiwa na polisi kuhusu tuhuma zinazomkabili za kumtolea maneno ya kashfa...
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Mawaziri watatu kitanzini
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
BAADA ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, baadhi ya wananchi wamekuwa wakijiuliza ni nini ambacho mawaziri wapya wataweza kufanya kwa muda wa miezi tisa iliyobaki.
Pamoja na kuwa na muda mfupi, bado kuna mambo kadhaa ambayo huenda ikawa ni ‘kitanzi’ kwa mawaziri hao kabla ya nchi kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu.
Changamoto kubwa ni fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo, hasa baada ya nchi wahisani kugoma kutoa fedha kwa...
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Majaji wa Escrow kitanzini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
TUME ya Utumishi wa Mahakama imesema suala la majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania wanaotuhumiwa kupokea zaidi ya Sh milioni 400 kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limefika kwenye tume hiyo na linafanyiwa kazi.
Kwa utaratibu wa tume hiyo, baada ya uchunguzi taarifa hupelekwa kwa rais ambaye baada ya kupitia mapendekezo yaliyotolewa kwenye ripoti ya uchunguzi, hutoa uamuzi.
Hayo yalielezwa jana na Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Hussein Katanga, katika banda la Tume...
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Watumishi mafisadi kitanzini
Serikali yaibuka na mwongozo mpya Tume ya Maadili yapewa meno makali
NA WILLIAM SHECHAMBO
SERIKALI imeendelea na mikakati ya kuwadhibiti viongozi wa umma wanaokiuka maadili na kushiriki kwenye vitendo vya wizi na ufisadi, ambapo sasa imeunda mwongozo mpya utakaotumika kuwabana.
Mwongozo huo ambao unatajwa kuwa suluhisho na mwarobaini wa watumishi wezi na wanaokwenda kinyume, pia utaipa meno zaidi ya kiutendaji, Sekretari ya Maadili ya Viongozi wa Umma, tofauti na ilivyo sasa.
Kwa sasa sheria na...