VIONJO VYA WIKI: Vijana wetu tumewatia kitanzini, tuwatoe
>Tumesikia kauli nyingi baadhi zikiwatoka viongozi wetu wa kada mbalimbali ambazo wakati mwingine zinakatisha tamaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Aug
VIONJO VYA WIKI: Sikieni, uchaguzi wa 11 ni kipimajoto cha umoja, utaifa wetu
Siku 68 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa 11 wa viongozi wakuu wa nchi, kwa maana ya rais, wabunge na madiwani, kwa hakika tutarajie kuona mambo mengi.
10 years ago
Mwananchi10 Aug
VIONJO VYA WIKI: Ndoto za wagombea zinaweza kuwadhuru kwenu
Safari siku zote huanza na hatua! Huu, ni usemi ambao umekuwa ukisikika au kuangukia kwenye ngoma ya sikio lako kwa miaka mingi na kuna uwezekano kuwa utaendelea kuusikia tena na tena mwaka huu, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.
9 years ago
Mwananchi24 Aug
VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini
Ni dhahiri kuwa shughuli imeanza rasmi. Sasa ni wakati mwafaka wa kuona na kusikia ahadi lukuki za wagombea baada ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi ambao umebakiza siku 61 kufanyika kote nchini.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
VIONJO VYA WIKI: Wapambe, wapigadebe mnawaharibia wagombea urais
Tangu Agosti 22 hadi leo, tumesikia mambo mengi kutoka kwa wagombea uongozi wa ngazi mbalimbali ambao mwaka huu wamenuia kuingia madarakani.Tumewasikia wapambe wao, wengi ambao baadhi ya nyakati unaweza kujiuliza hivi wamelishwa au kunyweshwa nini mwaka huu hadi wanatujia kwa jinsi walivyo, hasa pale wanapopanda kwenye majukwaa ili kuwanadi wagombea hao wanaowapenda.
10 years ago
Mwananchi03 Aug
VIONJO VYA WIKI: Usajili wa Lowassa Ukawa umeacha maswali yanayohitaji majibu
Nimeamini kuwa kumbe wanasiasa nchini mwetu siyo watu unaoweza kuwaamini, tena kwa asilimia 100.
10 years ago
Mwananchi27 Jul
VIONJO VYA WIKI: Angalieni msije kukosa mwana maji ya moto uchaguzi 2015
>Kwa kadri tunavyoikaribia siku ile ya Jumapili ya Oktoba 25 ambayo nakumbuka mwaka huu nilisema huenda ndiyo itakuwa siku ya uchaguzi mkuu wa viongozi wetu, yaani rais, wabunge na madiwani, tunasikia mambo mengi.
11 years ago
Uhuru Newspaper02 Jul
UKAWA kitanzini na mwandishi wetu
VIONGOZI na wanasiasa wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wametakiwa kutumia busara na kuyafanyiakazi maagizo ya viongozi wa dini ya kuwataka kurejea bungeni.
Pia wametakiwa wajitafakari wenyewe na kwamba hawastahili kubembelezwa wala kulazimishwa kuhusiana na kurejea bungeni kwani, wananchi ndio waliowatuma kufanyakazi hiyo na si vinginevyo.
Kauli hizo zilitolewa jana na wasomi na wanasiasa walipozungumza na gazeti hili kuhusu kauli iliyotolewa juzi na Makamu wa Rais wa Baraza la...
11 years ago
Mwananchi21 Mar
Wiki nne za Simba kitanzini
>Ikiwa imepoteza matumaini ya kutwaa ubingwa msimu huu na kuziachia vita hiyo Azam FC na Yanga, klabu ya Simba wanakabiliwa na safari ngumu ya siku 30 watakapocheza mechi zake tano zilizosalia msimu huu.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s72-c/MD1.jpg)
Wadau wa Vijana washiriki mdahala katika Wiki ya Vijana mkoani Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6u0NILjD6w/VDeSrcJw1lI/AAAAAAAGo8I/pkh_B4RpulE/s1600/MD1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5vnfj5OknuI/VDeSroczSnI/AAAAAAAGo8U/yiAZbNY1lg8/s1600/MD2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania