Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wiki nne za Simba kitanzini

>Ikiwa imepoteza matumaini ya kutwaa ubingwa msimu huu na kuziachia vita hiyo Azam FC na Yanga, klabu ya Simba wanakabiliwa na safari ngumu ya siku 30 watakapocheza mechi zake tano zilizosalia msimu huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Vijana wetu tumewatia kitanzini, tuwatoe

>Tumesikia kauli nyingi baadhi zikiwatoka viongozi wetu wa kada mbalimbali ambazo wakati mwingine zinakatisha tamaa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UJAUZITO WIKI YA NNE; Baadhi ya tahadhari za kuchukua

 KAMA tulivyoona katika makala iliyotangulia, wakati wowote hivi sasa mwanamke anaweza kujibaini kuwa ni mjamzito. Lakini tumeshaeleza kuwa ni vigumu, hasa kwa wale wanaopata ujauzito kwa mara ya kwanza, kufahamu...

 

10 years ago

Bongo5

Mixtape ya kushtukiza ya Drake ‘IYRTITL’ kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki ya kwanza

Surprise ndio mpango kwa sasa. Mixtape ya kushtukiza ya Drake, If You’re Reading This It’s Too Late iliyoachiwa usiku wa Alhamis, inatarajiwa kuuza kopi zaidi ya laki nne katika wiki yake ya kwanza kwa mujibu wa Billboard. Mixtape hiyo yenye nyimbo 17 inaweza kukamata nafasi ya kwanza kwenye chart ya Billboard 200 kwa kuuza zaidi […]

 

9 years ago

Michuzi

BRIGHT ANGEL HIGH SCHOOL YAFANYA MAHAFALI YA SABA YA KIDATO CHA NNE MWISHONI MWA WIKI.

Kushoto ni Mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Bright Angel High School, Ajay Mohamed akiwa na mwanafunzi mwenzake katika shule hiyo. Kutoka kulia ni Mkuu wa shule ya Bright Angel High School, Angribeth Nkwera katikati ni Mgeni rasmi katika mahafali ya saba katika shule ya Bright Angel High School, Innocent Banzi na Bi.Yasinta Mwinuka wakiwa angalia wanafunzi wa shule hiyo wakati wakitumbuiza katika mahafali hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki mkoani Pwani. Mkuu wa shule ya Bright Angel High...

 

10 years ago

Mwananchi

Simba yasaka nne bora mgongoni mwa Polisi Moro

Simba leo inashuka kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro kukabiliana na wenyeji Polisi Morogoro kutafuta ushindi ambao kwa mara ya kwanza utawawezesha kuingia kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi pia kujaribu kuondoa jinamizi la sare linalowaandama msimu huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatima ya Loga Simba wiki hii

HATIMA ya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Crotia kuendelea kutanua viunga vya Msimbazi sasa inatarajiwa kujulikana mwishoni mwa wiki hii. Loga alitua Msimbazi mzunguko wa pili wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Pigo Simba, Mkude nje wiki sita

Kiungo wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Jonas Mkude atakaa nje ya uwanja kwa wiki sita kutokana na kuwa majeruhi wa goti la mguu wa kulia.

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima kitanzini

Na Asifiwe George, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemtaka Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kupeleka nyaraka 10 za mali anazomiliki.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwanasheria wa Askofu Gwajima, John Mallya, alisema anatakiwa kuzipeleka nyaraka hizo kituoni hapo Aprili 16 mwaka huu.
Mallya alisema hatua hiyo imefikiwa baada ya mteja wake kuhojiwa na polisi kuhusu tuhuma zinazomkabili za kumtolea maneno ya kashfa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani