UJAUZITO WIKI YA NNE; Baadhi ya tahadhari za kuchukua
KAMA tulivyoona katika makala iliyotangulia, wakati wowote hivi sasa mwanamke anaweza kujibaini kuwa ni mjamzito. Lakini tumeshaeleza kuwa ni vigumu, hasa kwa wale wanaopata ujauzito kwa mara ya kwanza, kufahamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo07 Sep
Wasisitiziwa kuchukua tahadhari ya ebola
WANANCHI wilayani Masasi, wametakiwa kutokuwa na hofu na badala yake waendelee kuchukua tahadhari za kujikinga na ugonjwa hatari wa ebola ikiwa ni pamoja na kuepuka kugusa ama kuingiwa na mate, damu, mkojo, jasho, kinyesi pamoja na majimaji mengine yanayotoka mwilini mwa mtu mwenye ugonjwa huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-3dX2jkimCEY/U073NL4ApLI/AAAAAAAFbao/JfY5n01U0Us/s1600/New+Picture+%285%29.bmp)
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Muhula wa pili wa ujauzito (Wiki 13-26)
TUANZE makala ya leo na kishtua mada kwa kuwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Maisha ni kama kitabu kikubwa cha hadithi. Kila siku unapoamka unafungua ukurasa mpya. Wewe unajua idadi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-7-768x510.jpg)
MAMBO YA NDANI YAENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-7-768x510.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa (Wa tatu kulia) akisisitiza matumizi ya kunawa mikono kwa baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19. Tukio hilo limefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Picha-2-10-1024x680.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-5-768x512.jpg)
SIMIYU YAFUNGA KAMBI YA KITAALUMA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-5-768x512.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na wanafunzi wa Kidato cha Sita mkoani humo, kabla ya kufunga kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi hao ambayo ilikuwa ikiendelea katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa, kwa lengo la kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
5 years ago
MichuziBiteko awataka wachimbaji madini kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6d81COdft4/Xp2_eGUoSDI/AAAAAAALnl4/ZBA15hO8LtsEWQAmSFTeczGegFaUhKHCACLcBGAsYHQ/s72-c/765112ac-d89c-420a-a5c8-32fda11dfa86.jpg)
Rostam awataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya Corona (COVID-19).
Mfanyabiashara Rostam Aziz amewataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona kutokana na ugonjwa huo kuwa tishio nchini na duniani kwa ujumla.
Rostam amesema hayo leo wakati akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona vyenye thamani ya Sh milioni 500 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vifaa hivyo ambavyo amevikabidhi leo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ni pamoja na...