Biteko awataka wachimbaji madini kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
Baadhi ya wachimbaji wadogo wa Almasi katika Kata ya Magazo Wilaya Kishapu mkoani Shinyanga (kulia), wakisalimiana na Waziri wa Madini, Doto Biteko (wa kwanza kushoto) alipotembelea eneo la kuchenjulia mabaki ya mchanga wa almasi (makinikia) kutoka mgodi wa Mwadui/ Williamson Diamonds Ltd. Wachimbaji hao wamechukua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona kwa kuvaa vikinga pua na mdomo (mask).
Waziri wa Madini, Doto Biteko (kulia) akisalimiana na baadhi ya viongozi wa mgodi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
CCM BlogMKUU WA MKOA TABORA AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Kauli hiyo imetolewa na na Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwenye mkutano maalumu wa aliouitisha kujadili mikakati ya kupambana na jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona.
Aliwataka wananchi wote mkoani humo kuungana pamoja katika utekelezaji wa mapambano hayo na kuchukua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6d81COdft4/Xp2_eGUoSDI/AAAAAAALnl4/ZBA15hO8LtsEWQAmSFTeczGegFaUhKHCACLcBGAsYHQ/s72-c/765112ac-d89c-420a-a5c8-32fda11dfa86.jpg)
Rostam awataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya Corona (COVID-19).
Mfanyabiashara Rostam Aziz amewataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona kutokana na ugonjwa huo kuwa tishio nchini na duniani kwa ujumla.
Rostam amesema hayo leo wakati akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona vyenye thamani ya Sh milioni 500 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vifaa hivyo ambavyo amevikabidhi leo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-5-768x512.jpg)
SIMIYU YAFUNGA KAMBI YA KITAALUMA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-34hfN-7DMhA/XnEaAeLLl8I/AAAAAAALkLk/F0jjyumXhxwR2tJuPNSLpUUyKdLFhEL0wCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-5-768x512.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini akizungumza na wanafunzi wa Kidato cha Sita mkoani humo, kabla ya kufunga kambi ya kitaaluma kwa wanafunzi hao ambayo ilikuwa ikiendelea katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa, kwa lengo la kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-2-6-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0014.jpg)
WAFANYA KAZI WA SALUNI WAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0014.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0016.jpg)
Mfanyabiashara katika Soko la Shangwe Kigamboni Jijini Dar es Salaam akiendelea kumhudumia mteja wake huku akiwa amevaa Barakoa ikiwa ni sehemu ya kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0017.jpg)
Mkazi wa eneo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam akisafisha mikono yake kwa sabuni na maji safi yanayotiririka ikiwa ni sehemu ya...
9 years ago
GPL20 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-7-768x510.jpg)
MAMBO YA NDANI YAENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Md01cg-wHVc/XsYIG497b7I/AAAAAAALrDk/4FDXxhs1tB4o7nQ8IB8nAscSPxHpkfsOgCLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-7-768x510.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa (Wa tatu kulia) akisisitiza matumizi ya kunawa mikono kwa baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19. Tukio hilo limefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Picha-2-10-1024x680.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Aug
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...