Rostam awataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya Corona (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-c6d81COdft4/Xp2_eGUoSDI/AAAAAAALnl4/ZBA15hO8LtsEWQAmSFTeczGegFaUhKHCACLcBGAsYHQ/s72-c/765112ac-d89c-420a-a5c8-32fda11dfa86.jpg)
Mwandishi Wetu, Zanzibar.
Mfanyabiashara Rostam Aziz amewataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona kutokana na ugonjwa huo kuwa tishio nchini na duniani kwa ujumla.
Rostam amesema hayo leo wakati akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona vyenye thamani ya Sh milioni 500 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vifaa hivyo ambavyo amevikabidhi leo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ni pamoja na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0014.jpg)
WAFANYA KAZI WA SALUNI WAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gxvncxV0xH8/Xq_7_lVKt6I/AAAAAAALpCE/9AIIzNYiFRcQ_X74xEQADo4RNingNK9OQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0014.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0016.jpg)
Mfanyabiashara katika Soko la Shangwe Kigamboni Jijini Dar es Salaam akiendelea kumhudumia mteja wake huku akiwa amevaa Barakoa ikiwa ni sehemu ya kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0017.jpg)
Mkazi wa eneo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam akisafisha mikono yake kwa sabuni na maji safi yanayotiririka ikiwa ni sehemu ya...
5 years ago
MichuziBiteko awataka wachimbaji madini kuchukua tahadhari dhidi ya Corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6KBR01Ab75U/XpLzsZfoIGI/AAAAAAALm0c/ltaX7qV7N-UM5URKRTm9T74JkvND2Yu3wCLcBGAsYHQ/s72-c/uandishi..jpg)
USHAURI KWA WANAHABARI KUHUSU KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6KBR01Ab75U/XpLzsZfoIGI/AAAAAAALm0c/ltaX7qV7N-UM5URKRTm9T74JkvND2Yu3wCLcBGAsYHQ/s640/uandishi..jpg)
Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa na familia za waliopoteza ndugu zao...
5 years ago
CCM BlogMKUU WA MKOA TABORA AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
Kauli hiyo imetolewa na na Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kwenye mkutano maalumu wa aliouitisha kujadili mikakati ya kupambana na jinsi ya kujikinga na ugonjwa wa Corona.
Aliwataka wananchi wote mkoani humo kuungana pamoja katika utekelezaji wa mapambano hayo na kuchukua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OUOhUfH_2ao/XqMLYpo0AdI/AAAAAAALoIY/AEkNAvMKvFQUvLGK0UkFqkGAIIaFyRKqwCLcBGAsYHQ/s72-c/94312930_2741905162575055_8908452115450429440_o.jpg)
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Serikali yawataka Watanzania kuiamini serikali na kuchukua tahadhari
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_125827_308.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WATANZANIA WASITISHWE NA JANGA LA CORONA, WAENDELEE KUCHAPA KAZI HUKU WAKIZINGATIA TU TAHADHARI ZOTE ZA KUJIKINGA NA UGONJWA HUO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Y67_3SBCfC4/Xnc3_ykIIQI/AAAAAAACJEc/gy7wi0Xw-LUoEIL1SloksM1w1lcbpRH8QCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200322_125827_308.jpg)
DODOMA, Tanzania
Rais Dk. John Magufuli amewataka Watanzania kutotishwa na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona, badala yake waendelee kufanya kazi kwa bidii na kujenga uchumi huku wakizingatia tahadhari zote za kujikinga kuambukizwa ugonjwa huo kama zilivyotolewa na...
9 years ago
GPL20 Aug