Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIONJO VYA WIKI: Angalieni msije kukosa mwana maji ya moto uchaguzi 2015

>Kwa kadri tunavyoikaribia siku ile ya Jumapili ya Oktoba 25 ambayo nakumbuka mwaka huu nilisema huenda ndiyo itakuwa siku ya uchaguzi mkuu wa viongozi wetu, yaani rais, wabunge na madiwani, tunasikia mambo mengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Sikieni, uchaguzi wa 11 ni kipimajoto cha umoja, utaifa wetu

Siku 68 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa 11 wa viongozi wakuu wa nchi, kwa maana ya rais,  wabunge na madiwani, kwa hakika tutarajie kuona mambo mengi.

 

11 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Vijana wetu tumewatia kitanzini, tuwatoe

>Tumesikia kauli nyingi baadhi zikiwatoka viongozi wetu wa kada mbalimbali ambazo wakati mwingine zinakatisha tamaa.

 

10 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Ndoto za wagombea zinaweza kuwadhuru kwenu

Safari siku zote huanza na hatua! Huu, ni usemi ambao umekuwa ukisikika au kuangukia kwenye ngoma ya sikio lako kwa miaka mingi na kuna uwezekano kuwa utaendelea kuusikia tena na tena mwaka huu, hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.

 

9 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Wapambe, wapigadebe mnawaharibia wagombea urais

Tangu Agosti 22 hadi leo, tumesikia mambo mengi kutoka kwa wagombea uongozi wa ngazi mbalimbali ambao mwaka huu wamenuia kuingia madarakani.Tumewasikia wapambe wao, wengi ambao baadhi ya nyakati unaweza kujiuliza hivi wamelishwa au kunyweshwa nini mwaka huu hadi wanatujia  kwa jinsi walivyo, hasa pale wanapopanda kwenye majukwaa ili kuwanadi wagombea hao wanaowapenda.

 

9 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini

Ni dhahiri kuwa shughuli imeanza rasmi. Sasa ni wakati mwafaka wa kuona na kusikia ahadi lukuki za wagombea baada ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi ambao umebakiza siku 61 kufanyika kote nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

VIONJO VYA WIKI: Usajili wa Lowassa Ukawa umeacha maswali yanayohitaji majibu

Nimeamini kuwa kumbe wanasiasa nchini mwetu siyo watu unaoweza kuwaamini, tena kwa asilimia 100.

 

5 years ago

StarTV

Wananchi waandamana kukosa maji baada ya mhudumu wa maji kukamatwa na DC

  Na, Ahmed Makongo, Bunda; WANANCHI wa kitongoji cha Mashine ya Maji katika kata ya Bunda stoo, mjini Bunda mkoani Mara, jana wamepiga yowe na kuanadamana kwa kukusanyika pamoja katika kituo cha Mashine ya kusukuma maji, iliyoko katika eneo la Migungani, mjini humo, kutokana na kituo hicho kufungwa na kusababisha kukosa huduma ya maji, kwa …

 

9 years ago

Mwananchi

Maji kilio kikuu Uchaguzi 2015

Wakati wagombea urais wa vyama mbalimbali wakiendelea kujinadi mikoani, wananchi wanaonekana kupaza sauti zaidi kutaka kilio chao cha tatizo la maji kisikike.

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI MKOA WA NJOMBE YAFANA KATIKA VIWANJA VYA MABEHEWANI

Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapteni mstaafu Aseri Msangi akipata maelekezo kwenye banda la idara ya maji kuhusu bili za maji, katika wiki ya maji kimkoa katika viwanja vya mabehewani Makete mjini. Mkuu wa mkoa Kapt. Msangi akisikiliza maelekezo toka kwa mtaalamu wa maji, katikati ni mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro. Mkuu wa mkoa akipata maelekezo kuhusu mfumo mzima wa maji Makete mjini unavyofanya kazi.  Kikundi cha sanaa cha SUMASESU kikitumbuiza kwenye maadhimisho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani