VIONJO VYA WIKI: Wapambe, wapigadebe mnawaharibia wagombea urais
Tangu Agosti 22 hadi leo, tumesikia mambo mengi kutoka kwa wagombea uongozi wa ngazi mbalimbali ambao mwaka huu wamenuia kuingia madarakani.Tumewasikia wapambe wao, wengi ambao baadhi ya nyakati unaweza kujiuliza hivi wamelishwa au kunyweshwa nini mwaka huu hadi wanatujia kwa jinsi walivyo, hasa pale wanapopanda kwenye majukwaa ili kuwanadi wagombea hao wanaowapenda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Aug
VIONJO VYA WIKI: Ndoto za wagombea zinaweza kuwadhuru kwenu
9 years ago
MichuziPolisi: Wagombea Urais marufuku kuambatana na wapambe waati wa kuchukua, kutafuta wadhamini na kurejesha fomu
Jeshi la Polisi nchini limesitisha maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa wakati wa kuchukua ,kutafuta wadhamini, na kurejesha fomu za kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Inspekta Jenerali wa jeshi la Polisi Abdulrahman Kaniki (pichani) amesema kuwa jeshi limechukua hatua hiyo kutokana na ukiaukwaji wa sheria za usalama barabarani...
9 years ago
Mwananchi24 Aug
VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini
11 years ago
Mwananchi30 Jun
VIONJO VYA WIKI: Vijana wetu tumewatia kitanzini, tuwatoe
10 years ago
Mwananchi03 Aug
VIONJO VYA WIKI: Usajili wa Lowassa Ukawa umeacha maswali yanayohitaji majibu
9 years ago
Mwananchi17 Aug
VIONJO VYA WIKI: Sikieni, uchaguzi wa 11 ni kipimajoto cha umoja, utaifa wetu
10 years ago
Mwananchi27 Jul
VIONJO VYA WIKI: Angalieni msije kukosa mwana maji ya moto uchaguzi 2015
9 years ago
Habarileo22 Sep
Wazee waonya wapigadebe wa urais
WAZEE wa vyama mbalimbali vya siasa mkoani hapa, wamecharuka na kutoa onyo kwa wapiga debe wa wagombea mbalimbali katika kampeni za uchaguzi, kama urais na ubunge, wanaotoa lugha chafu.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wagombea urais waweke wazi vyanzo vya mapato yao
WANASIASA wanaogombea nafasi za juu za uongozi katika nchi zao, ukiwamo urais, kote duniani hupaswa kufanya maandalizi mengi kabla ya kufikia uamuzi huo. Miongoni mwa maandalizi hayo, kubwa zaidi ni...