Wazee waonya wapigadebe wa urais
WAZEE wa vyama mbalimbali vya siasa mkoani hapa, wamecharuka na kutoa onyo kwa wapiga debe wa wagombea mbalimbali katika kampeni za uchaguzi, kama urais na ubunge, wanaotoa lugha chafu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi28 Sep
VIONJO VYA WIKI: Wapambe, wapigadebe mnawaharibia wagombea urais
Tangu Agosti 22 hadi leo, tumesikia mambo mengi kutoka kwa wagombea uongozi wa ngazi mbalimbali ambao mwaka huu wamenuia kuingia madarakani.Tumewasikia wapambe wao, wengi ambao baadhi ya nyakati unaweza kujiuliza hivi wamelishwa au kunyweshwa nini mwaka huu hadi wanatujia kwa jinsi walivyo, hasa pale wanapopanda kwenye majukwaa ili kuwanadi wagombea hao wanaowapenda.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
Patrice Lumumba. Julius Nyerere. Na Walusanga Ndaki
IJUMAA moja ya alasiri na kiangazi jijini Dar es Salaam, mwandishi wa makala hii ambaye sasa ana umri wa miaka 60 alikuwa akifanya mzaha wa kupiga danadana mpira wa miguu nje ya ofisi yao kabla ya kwenda kwenye mechi ya soka kati ya timu ya ofisi yake na taasisi moja ya habari. Mwandishi huyo alifanya hivyo kwa umahiri mkubwa kwa kama dakika tano mbele ya wafanyakazi wenzake...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wagombea urais na hatima ya wazee wa Tanzania
Hiki ni kipindi ambacho suala la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 ndilo linalopewa uzito katika mijadala mbalimbali ndani na nje ya Tanzania. Katika kampeni na chaguzi zinazotawaliwa na hoja, wanasiasa wanatarajiwa kuelezea jinsi watakavyotatua matatizo kadha wa kadha ngazi ya taifa, jimbo na kata.
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
Wazee Dar wamfuata Mwakyembe kumshawishi urais
KUINGIA ghafla kwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk.
Mwandishi Wetu
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MWIGULU NCHEMBA: NIMEOMBWA NA WAZEE NIGEMBEE URAIS 2015
Wakati baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiendelea kupigana vikumbo kuwania urais wa 2015, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema ameombwa na watu mbalimbali wakiwamo wazee na wasomi kuwania nafasi hiyo.
Hata hivyo, Nchemba amesema kwa sasa hafikirii suala hilo kwani amebanwa na utekelezaji wa jukumu alilokabidhiwa na Rais.
Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, aliyasema hayo jana wakati akihojiwa na kituo kimoja cha televisheni...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wapigadebe wazua vurugu Mnazi Mmoja
BAADHI ya wapigadebe wa kituo cha daladala Mnazi Mmoja, Dar es Salaam jana walizua vurugu baada ya kuwapangia abiria utaratibu wa kuingia kwenye daladala. Wakizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq2lkY_Yvws/VdSi1Ts1DwI/AAAAAAAHyPw/wgy4TWqSkLc/s72-c/c1.jpg)
RAIS KIKWETE AMTAMBULISHA MGOMBEA URAIS WA CCM KWA WAZEE WA DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-Eq2lkY_Yvws/VdSi1Ts1DwI/AAAAAAAHyPw/wgy4TWqSkLc/s640/c1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4gVNWoyjshA/VdSi1XH_NNI/AAAAAAAHyPs/O_sNK0oap_c/s640/c2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jg5NDQLt6tg/VdSi1bgq_xI/AAAAAAAHyP0/zA47wg-USfs/s640/c3.jpg)
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...
5 years ago
MichuziWAZEE WAIPONGEZA SERIKALI SHINYANGA KUPUNGUZA MAUAJI YA WAZEE
Wazee wametoa pongezi hizo leo Machi 11,2020 kwenye kikao cha Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga, kilichofanyika kwenye hospitali ya rufani ya mkoa wa Shinyanga, kilichokuwa na lengo la kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi likiwamo suala la matibabu. Akisoma...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania