Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe wamedhihirisha udhaifu wetu Watanzania

Nakiita kioja. Kioja hicho kilitokea siku tatu tu baada ya kuanza kwa Bunge maalumu la Katiba. Eti wajumbe wake walikataa posho ya Sh300,000, huku wakitaka waongezewe hadi Sh500,000 kama ilivyokuwa kwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lipumba: Moyo wetu Ukawa ni wajumbe 14

>Wakati mchakato wa Katiba mpya unaendelea mjini Dodoma na suala la theluthi mbili likisumbua vichwa vya wengi, mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa kura za wajumbe 14 kutoka Zanzibar ndizo zitauokoa au kuukwamisha mchakato huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania tumepoteza utanzania wetu?

Kwa kipindi kirefu Watanzania tulikuwa tukijulikana kuwa ni watu wenye upendo na ukarimu wa hali ya juu. Hizi zilikuwa ni sifa kubwa za Watanzania ambazo zilikuwa zinamtambulisha Mtanzania popote alipokwenda ndani na nje ya bara la Afrika.

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN

Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu ghrama za mazishi ni $6,000  jina la AC ni Memorial for late Mike Lukindo  Benki ni Madison Chase Bank AC ni 579362299  Route ni 075000019  Tafadhali ndugu zangu, Watanzania wenzangu msiba huu ni wetu sote chochote utakachokua nacho...

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN‏

Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu ghrama za mazishi ni $6,000  Jina la AC ni Memorial for late Mike Lukindo  Benki ni Madison Chase Bank AC ni 579362299  Route ni 075000019  Tafadhali ndugu zangu,...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kauli ya Pinda yaonyesha udhaifu’

Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wamemkosoa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutokana na kutamani kung’olewa kwenye nafasi, wakidai kuwa kauli yake inaonyesha jinsi alivyo mpole na dhaifu kiutendaji .

 

10 years ago

Tanzania Daima

Udhaifu wa kitaasisi unalitesa Bunge

“MHESHIMIWA Spika, leo kupitia kituo cha Televisheni ya TBC, Balozi Sefue analiambia Taifa kwamba ripoti hiyo haijakamilika na kuwataka wabunge waache kumshinikiza CAG kuleta ripoti hiyo Bungeni. Kwa hali hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Udhaifu wa Al Ahly, usiwahadae Yanga 

TANZANIA imesaliwa na timu moja tu ya Yanga katika medani ya kimataifa, baada ya Azam iliyokuwa ikishiriki Kombe la Shirikisho kuishia raundi ya awali kama ilivyo kwa KMKM na Chuoni...

 

9 years ago

Raia Mwema

Udhaifu wa CCM si ubora wa Ukawa

HATIMAYE ‘wapinzani wakuu’ katika Uchaguzi Mkuu ujao, yaani chama tawala CCM na Ukawa wamefanikiw

Evarist Chahali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani