Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania tumepoteza utanzania wetu?

Kwa kipindi kirefu Watanzania tulikuwa tukijulikana kuwa ni watu wenye upendo na ukarimu wa hali ya juu. Hizi zilikuwa ni sifa kubwa za Watanzania ambazo zilikuwa zinamtambulisha Mtanzania popote alipokwenda ndani na nje ya bara la Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2

Kama tulivyoona wiki iliyopita, yapo maswali ya kujiuliza kuhusu dhana hizi mbili, lakini mfano mwingine ni kwamba mtu aliyeelimika ni yule anayetambua kwamba wapendanao ni kivuli cha upendo.

 

11 years ago

Mwananchi

KARUGENDO: Muungano, Utanzania wetu ni kipi kilichotangulia?

Ninaandika makala haya nikiwa Tanganyika! Nisieleweke vibaya. Mimi siko kwenye mabishano ya serikali mbili au tatu. Mambo ya Muungano, ama Tanganyika na ya Visiwani simo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ni Katiba ya Watanzania au ya utanzania?

NIMEFUATILIA mchakato wa Mabadiliko ya Katiba kwa umakini mkubwa. Wasomaji wangu wamekuwa wakinitaka kutoa maoni yangu juu ya katiba na kutoa mapendekezo yangu. Kwa ufupi ni kwamba mchakato unakwenda vizuri,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe wamedhihirisha udhaifu wetu Watanzania

Nakiita kioja. Kioja hicho kilitokea siku tatu tu baada ya kuanza kwa Bunge maalumu la Katiba. Eti wajumbe wake walikataa posho ya Sh300,000, huku wakitaka waongezewe hadi Sh500,000 kama ilivyokuwa kwa wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tumepoteza nafasi adhimu ya kurejesha uzalendo

WANANCHI wengi , kama sio wote, tulikuwa na hamasa kubwa ya kumuunga mkono Rais John Magufuli ali

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Michuzi

WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN

Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu ghrama za mazishi ni $6,000  jina la AC ni Memorial for late Mike Lukindo  Benki ni Madison Chase Bank AC ni 579362299  Route ni 075000019  Tafadhali ndugu zangu, Watanzania wenzangu msiba huu ni wetu sote chochote utakachokua nacho...

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN‏

Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu ghrama za mazishi ni $6,000  Jina la AC ni Memorial for late Mike Lukindo  Benki ni Madison Chase Bank AC ni 579362299  Route ni 075000019  Tafadhali ndugu zangu,...

 

10 years ago

Michuzi

Jivunie Utanzania na dot tz (.tz)

Kama utakuwa na kumbukubu nzuri kipindi cha nyuma kidogo ulikuwa ukiingia kwenye mtandao utakuta domain nyingi ziko kwa namna ya jinafulani.com alafu baada ya muda tukaanza kuona jinafulani.co.uk ila hapakuwa na jinafulani.co.tz. Hilo lime badilika na kwa takwimu za sasa kuna takribani domain 10,000 zinazoishia na .tz ambazo zimesajiliwa na tzNIC moja kwa moja au kupitia wakala wao. 
Tanzania Network Information Centre (tzNIC) ni msajili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani