Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni Katiba ya Watanzania au ya utanzania?

NIMEFUATILIA mchakato wa Mabadiliko ya Katiba kwa umakini mkubwa. Wasomaji wangu wamekuwa wakinitaka kutoa maoni yangu juu ya katiba na kutoa mapendekezo yangu. Kwa ufupi ni kwamba mchakato unakwenda vizuri,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watanzania tumepoteza utanzania wetu?

Kwa kipindi kirefu Watanzania tulikuwa tukijulikana kuwa ni watu wenye upendo na ukarimu wa hali ya juu. Hizi zilikuwa ni sifa kubwa za Watanzania ambazo zilikuwa zinamtambulisha Mtanzania popote alipokwenda ndani na nje ya bara la Afrika.

 

10 years ago

Michuzi

Jivunie Utanzania na dot tz (.tz)

Kama utakuwa na kumbukubu nzuri kipindi cha nyuma kidogo ulikuwa ukiingia kwenye mtandao utakuta domain nyingi ziko kwa namna ya jinafulani.com alafu baada ya muda tukaanza kuona jinafulani.co.uk ila hapakuwa na jinafulani.co.tz. Hilo lime badilika na kwa takwimu za sasa kuna takribani domain 10,000 zinazoishia na .tz ambazo zimesajiliwa na tzNIC moja kwa moja au kupitia wakala wao. 
Tanzania Network Information Centre (tzNIC) ni msajili...

 

11 years ago

Mwananchi

Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2

Kama tulivyoona wiki iliyopita, yapo maswali ya kujiuliza kuhusu dhana hizi mbili, lakini mfano mwingine ni kwamba mtu aliyeelimika ni yule anayetambua kwamba wapendanao ni kivuli cha upendo.

 

11 years ago

Mwananchi

KARUGENDO: Muungano, Utanzania wetu ni kipi kilichotangulia?

Ninaandika makala haya nikiwa Tanganyika! Nisieleweke vibaya. Mimi siko kwenye mabishano ya serikali mbili au tatu. Mambo ya Muungano, ama Tanganyika na ya Visiwani simo.

 

11 years ago

Mwananchi

Watanzania kupata Katiba wanayoitaka?

Aprili, 2012, Rais Jakaya Kikwete alitangaza wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania ikiwa ni mwanzo wa mchakato wa kuelekea kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba imewagawa Watanzania hivi

Mbali na kubaki ‘njia panda’ , kuna baadhi ya Watanzania ambao wanaamini mshale wa saa bado unaendelea kuonyesha dalili na matumaini ya kupatikana kwa Katiba Mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halahala katiba isiwatenge Watanzania

WAKATI Watanzania wakisubiri kwa hamu uamuzi wa kuipitisha ama kutoipitisha Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, tayari dalili za mvutano baina ya vyama vya siasa zimeanza kujitokeza waziwazi. Katiba ni...

 

10 years ago

Habarileo

KKKT wataka Katiba ya Watanzania

MSAIDIZI wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kikristo Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Dodoma Mchungaji Samweli Mshana, amewataka wajumbe walio katika mchakato wa Katiba kuhakikisha wanawapatia watanzania Katiba itakayotoa haki zote bila upendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

'Watanzania msiige Katiba za nchi nyingine'

MWANASHERIA Mkuu wa zamani wa Kenya, ambaye sasa ni Seneta wa Busia, Amos Wako amewashauri wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, kutoiga kila kitu kutoka kwenye Katiba za nchi nyingine bali wajifunze na kutunga Katiba inayoendana na mazingira ya Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani